Lema kafanya ubunge umekuwa kitu rahisi sana.
...
.....Nilipita Moro wananchi wamechachamaa !!!!!
Hivi tofauti ya Gongo na Kiroba ni nini? Wananchi wanaweza kupata mitambo midogo ya kuboresha gongo kuwa kiroba. Ingawa mimi sipendi hii haramu.Kwa sera za kuhalalisha GONGO na watu makini kama afande Sele lazima jimbo lichukuliwe na CDM
Hivi tofauti ya Gongo na Kiroba ni nini? Wananchi wanaweza kupata mitambo midogo ya kuboresha gongo kuwa kiroba. Ingawa mimi sipendi hii haramu.
Haiwezi kuwa HARAMU kwako ukataka iboreshwe, ikiboreshwa itakua halali kwako?Hivi tofauti ya Gongo na Kiroba ni nini? Wananchi wanaweza kupata mitambo midogo ya kuboresha gongo kuwa kiroba. Ingawa mimi sipendi hii haramu.
sele anadhani muziki na ubunge ni vitu ambavyo vinafanana kumbe wala hata havishabihiani kabisa.