Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Naweza kukubali ni one way kwamba 'Tumeishi kwenye Umaskini mno kiasi cha kuamini kuwa kiongozi mzuri lazima naye awe maskini'..Na hili tatizo litatugharimu sana huko mbeleni!..Hii ni kwa sababu akili zetu hazijafunguka kuukubali mfumo wa Kibepali ambao ndio unaotawala dunia kwa sasa!..Mawazo yetu yamekuwa ya kimaskinimaskini sana..Lazima tufike wakati tukubali kuwa kuishi kimaskini na kifisadi yote ni makosa!!
Kinachotakiwa ni kubadili 'mentality' kwanza!..Hata kama tutabadili vyama kwa akili hii lazima tushikane uchawi kwa muda mfupi ujao!..Kama alivyosema Mh.Mbatia 'Let us think globally and act locally'..
Chifu kwani ubepari ndiyo mfumo unaotumika na Tanzania?! Imeandikwa wapi? Kwenye katiba ya CCM au JMT?!