William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
- Thread starter
- #21
unaweza kuwa na vision lakini ukawa na udahifu kwenye 'execution'. It is important to know the interpendence between the two. Na excution ina-include hata communication, kwa sababu kama hukuweza ku-articulate your vision na watu wakailewa vema basi unaweza kuonekana kama uko -aloof. Ref, thabo mbeki, pamoja na minyukano ya ndani ya chama chake cha anc, mbeki alikuwa na tatizo la kuwashawishi 'komrade' wenzake kuwa maamuzi yake yalikuwa na manufaa mapama kwa chama na nchi kwa ujumla. In the end wakingia kwenye kuwindana.
- tatizo ni umeikutaje nchi, sasa kama nchi haijwahi kuwa na seriuous vision za kujitoa kwenye umasikini unawezaje kulitoa kwenye umasikini in 7 years, ndio haya haya mawazo ya kimaskini badala ya ku-deal na ishu huwa yanalilia ku-deal na personalities!!
Willie!!