Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
- Unajua through my research nimegundua kwamba Tanzania ni nchi ya kwanza Duniani, ambayo wananchi wake wana majumba makubwa ya kifahari lakini hayakujengwa kwa mikopo toka benki, ha! ha! ha! ha! yaani it is incredible!!
Willie!
kazi kweli kweli!