Adui yetu Namba Moja ni Umasikini!!

- Unajua through my research nimegundua kwamba Tanzania ni nchi ya kwanza Duniani, ambayo wananchi wake wana majumba makubwa ya kifahari lakini hayakujengwa kwa mikopo toka benki, ha! ha! ha! ha! yaani it is incredible!!

Willie!

kazi kweli kweli!
 
@ W'S EXPERIENCE: Tatizo moja kubwa Tanzania ni UMASIKINI, we are too poor kuweza ku-deal seriously na matatizo mengine, Umasikini huanzia kwenye mali na ukiwa un checked huamia kwenye akili, masikini mmoja hawezi kumsaidia masikini mwingine kutoka kwenye umasikini waliomo, na kama Serikali haikuwasaidia kutoka kwenye ule umasikini, watailazimisha Serikali nayo kuwa masikini kama wao, so serikali yetu masikini hatukuipata kwa bahati mbaya!!


Willie! @ Facebook!!!

Naweza kukubali ni one way kwamba 'Tumeishi kwenye Umaskini mno kiasi cha kuamini kuwa kiongozi mzuri lazima naye awe maskini'..Na hili tatizo litatugharimu sana huko mbeleni!..Hii ni kwa sababu akili zetu hazijafunguka kuukubali mfumo wa Kibepali ambao ndio unaotawala dunia kwa sasa!..Mawazo yetu yamekuwa ya kimaskinimaskini sana..Lazima tufike wakati tukubali kuwa kuishi kimaskini na kifisadi yote ni makosa!!

Kinachotakiwa ni kubadili 'mentality' kwanza!..Hata kama tutabadili vyama kwa akili hii lazima tushikane uchawi kwa muda mfupi ujao!..Kama alivyosema Mh.Mbatia 'Let us think globally and act locally'..
 
@ W'S EXPERIENCE: Tatizo moja kubwa Tanzania ni UMASIKINI, we are too poor kuweza ku-deal seriously na matatizo mengine, Umasikini huanzia kwenye mali na ukiwa un checked huamia kwenye akili, masikini mmoja hawezi kumsaidia masikini mwingine kutoka kwenye umasikini waliomo, na kama Serikali haikuwasaidia kutoka kwenye ule umasikini, watailazimisha Serikali nayo kuwa masikini kama wao, so serikali yetu masikini hatukuipata kwa bahati mbaya!!


Willie! @ Facebook!!!

mimi utafiti wangu unaonyesha kwamba watanzania sio masikini sababu wameridhika kabisa na hali waliyo nayo na hawajawahi kuona kama ni tatizo mpaka siku za karibuni ambapo kikundi cha watu wachache ndio kimeanza kuwalazimisha waamini kwamba wao ni masikini,
 
aliye na shide amkumbuki mwenye njaa suti nzuri,gari zuri,jumba la kifahari,totozi kama kawa nafikiri ujapungukiwa na kitu isipokuwa ufalme wa mbingu, hongera sana.
 
Umaskini wetu ni umaskini unaoanzia kwenye vichwa! Tu maskini wa kufikiri...tu maskini wa kujiongoza kutokana na kukosa fikra! Tu maskini kwa ajiri ya kukosa visionary leaders.
Bila kwanza kuhangaika na elimu itayayowezesha kutusaidia kutumia vichwa vyetu kufikiri, suala la kuupiga vita umaskini ni ndoto za alinacha
 
Duh! Kwa hiyo wewe unataka wote tuwe matajiri wa mali? Na hapo tutamaliza matatizo yetu?
Ivi ndio wewe ulitaka kutuwakilisha EALA?

- NDIO MAWAZO YENYEWE NINAYOYASEMA HAYA YA KIMASIKINI MASIKINI!!, UTAIKFIRI HUKO EALA UNAWAKILISHWA NA MALAIKA WA MUNGU!!

wILLIE!!
 
naweza kukubali ni one way kwamba 'tumeishi kwenye umaskini mno kiasi cha kuamini kuwa kiongozi mzuri lazima naye awe maskini'..na hili tatizo litatugharimu sana huko mbeleni!..hii ni kwa sababu akili zetu hazijafunguka kuukubali mfumo wa kibepali ambao ndio unaotawala dunia kwa sasa!..mawazo yetu yamekuwa ya kimaskinimaskini sana..lazima tufike wakati tukubali kuwa kuishi kimaskini na kifisadi yote ni makosa!!

Kinachotakiwa ni kubadili 'mentality' kwanza!..hata kama tutabadili vyama kwa akili hii lazima tushikane uchawi kwa muda mfupi ujao!..kama alivyosema mh.mbatia 'let us think globally and act locally'..

- great thinking!, salute!!

Willie!!
 
umaskini wetu ni umaskini unaoanzia kwenye vichwa! Tu maskini wa kufikiri...tu maskini wa kujiongoza kutokana na kukosa fikra! Tu maskini kwa ajiri ya kukosa visionary leaders.
Bila kwanza kuhangaika na elimu itayayowezesha kutusaidia kutumia vichwa vyetu kufikiri, suala la kuupiga vita umaskini ni ndoto za alinacha

- great thinking super sana!!

Willie!
 
mimi utafiti wangu unaonyesha kwamba watanzania sio masikini sababu wameridhika kabisa na hali waliyo nayo na hawajawahi kuona kama ni tatizo mpaka siku za karibuni ambapo kikundi cha watu wachache ndio kimeanza kuwalazimisha waamini kwamba wao ni masikini,

- sIKU ZA KARIBUNI KUMEZUKA VIKUNDI VYA WATU KUNA WANAOJARIBU KUJITOA KWENYE UMASIKINI KWA NJIA ZA HALALI, NA KUNA WANAOJARIBU KWA NJIA CHAFU, LAKINI KWA SABABU WENGI NI MASIKINI WA MALI NA MAWAZO HATUWEZI KUWATOFAUTISHA, SO TUNADAI WOTE NI WEZI TU ILI WARUDI CHINI WOTE TUWE SAWA, YAANI MASIKINI!!

wILLIE!!
 
Good thread..
Ishu sio umasikini tu
ishu hapa ni kuwa na taifa la kuagiza kila kitu kutoka nje
mpaka toothpick na kandambili na mikeka
hiyo ndo ishu..

It goes to the same problem of how do we use our heads in the thinking process....yaani fikra zetu bado ni za kale sana
 


WEMA SEPETU SIO MALAYA ILA NI MWANANCHI AMBAYE ANATAFUTA RIZIKI YAKE KWA KUCHEZA CINEMA, NI MAMBO YA KAWAIDA KWENYE CAPITALISM, LAKINI NI MAPYA KWETU BONGO SO TUNA KAZI KUBWA SANA YA KUELIMISHA TAIFA KWAMBA WANAWAKE NAO NI WATU PIA.

WILLIE!




Picha+2.JPG


Anna_Lupembe.JPG

Kkwete%2Bna%2BMrema.jpg



kiduku.JPG


Reactions:
 
@ W'S EXPERIENCE: Tatizo moja kubwa Tanzania ni UMASIKINI, we are too poor kuweza ku-deal seriously na matatizo mengine, Umasikini huanzia kwenye mali na ukiwa un checked huamia kwenye akili, masikini mmoja hawezi kumsaidia masikini mwingine kutoka kwenye umasikini waliomo, na kama Serikali haikuwasaidia kutoka kwenye ule umasikini, watailazimisha Serikali nayo kuwa masikini kama wao, so serikali yetu masikini hatukuipata kwa bahati mbaya!!


Willie! @ Facebook!!!

- Unajua through my research nimegundua kwamba Tanzania ni nchi ya kwanza Duniani, ambayo wananchi wake wana majumba makubwa ya kifahari lakini hayakujengwa kwa mikopo toka benki, ha! ha! ha! ha! yaani it is incredible!!

Willie!
"kazi ya kichwa si kufuga nywele tu"-Werema. "kadhalika si kunyoa kipara tu"-Raia Fulani
 
ishu sio kukosa kujiamini
ishu ni vision tu ndo hakuna
halafu watanzania wengi wana fanikiwa despite bad leadership

tazama banking industry now...
two biggest bank in tz ni NMB na CRDB...
tazama mapato ya NSSF ni zaidi ya billioni 400 kwa mwezi while wanachama hawafiki milioni moja

nyumba ndo kabisa watu wanajenga kila siku
licha ya kuwa Cement ni aghali mno na kodi ni kubwa kwa kila malighafi za ujenzi
na wanajenga bila mikopo

watu wanaweza na wanajiamini..
ishu ni lack of leadership with vision...

The B, vipi za masiku??

Kutoka kwenye maneno yako haya nakumbuka maneno ya jamaa angu mmoja alisemaga kuwa "Hii nchi ipo perfect kabisa ila kuna kijisehemu kidogo tu mtu/watu anatakiwa akitwist, yaani kidude kidogo tu ukikisogeza tu hivi, mambo mengineee yooote yanakuwa saaafi"

Nilicheka sana na sikumuelewa, ila hapa umeiweka clear sana!
 
- Unajua through my research nimegundua kwamba Tanzania ni nchi ya kwanza Duniani, ambayo wananchi wake wana majumba makubwa ya kifahari lakini hayakujengwa kwa mikopo toka benki, ha! ha! ha! ha! yaani it is incredible!!

Willie!

Ehe ikaishia wapi research yako? Kama majengo hayajajengwa kwa mkopo ilijengwa na source ipi ya hela?
 
The B, vipi za masiku??

Kutoka kwenye maneno yako haya nakumbuka maneno ya jamaa angu mmoja alisemaga kuwa "Hii nchi ipo perfect kabisa ila kuna kijisehemu kidogo tu mtu/watu anatakiwa akitwist, yaani kidude kidogo tu ukikisogeza tu hivi, mambo mengineee yooote yanakuwa saaafi"

Nilicheka sana na sikumuelewa, ila hapa umeiweka clear sana!

very true aisee
soko lipo na watu wenye pesa wapo
kinachohitajika ni ku control import na ku promote manufacturing....

fikiria kama wadada woote wanaovaa nguo za kariakoo
ingekuwa unazitengeneza wewe
ungeajiri watu wangapi?
 
Ahsante sana Mkuu Bob G. Tanzania si nchi maskini hivyo hata siku moja hatuwezi kusema adui wetu wa kwanza ni umaskini. Tuna utajiri wa kutosha tu ikiwemo Almasi, Dhahabu, Gesi, Uranium, Ardhi yenye rutuba, Tanzanite n.k. Utajiri huu belele kama ungetumika vizuri kwa maslahi ya Tanzania na Watanzania nchi yetu ingekuwa imepiga hatua kubwa sana kimaendeleo, lakini waroho wa chache wa Utajiri wa haraka haraka akina Ali Hassan Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Lowassa, Sumaye na wengine wengi ndani ya CCM wameamua kutafuna utajiri huu kwa manufaa yao badala ya yale ya nchi. Matokeo yake ni nchi kukosa maendeleo mwaka nenda mwaka rudi. Angalia umeme ambao matatizo ya umeme yalianza rasmi mwaka 1992 miaka 20 baadaye bado tu hatujaweza kuliondoa tatizo la umeme nchini.

Kwa hiyo adui namba moja wa Watanzania na Tanzania ni CCM.

Adui yetu mkubwa zaidi ni CCM na umaskini wetu umeletwa na CCM, UAMSHO nayo imeletwa na CCM, Kila unachokiona kiko hovyo kimeletwa na CCM, CCM NI JANGA LA KITAIFA, CCM ni Hatari zaidi ya UKIMWI, UKOMA na Magonjwa mengine Mengi Sugu. Kuendelea kuwepo kwa ccm ni KUANGAMIZA MAISHA YA WATANZANIA na Raslimali zake. Na CCM ni CHUKIZO hata Kwa MUNGU na Alaaniwe kila anaesaidia Uwepo wa CCM!
 
Last edited by a moderator:
Nakataa kuwa adui wetu namba moja ni umasikini,

Tatizo letu kubwa ni mfumo kandamizi usiotumia busara katika kutatua kero za mwananchi wa kawaida. Umasikini ni matokeo na katika mbinu za kutatua matatizo (problem solving techniques) yatupasa kwenda kwenya CHANZO, umasikini tulionao siyo chanzo bali ni MATOKEO, ambayo yamesababishwa na mfumo mfu wa wale ambao tunaendelea kuwapigia kura na kuwaweka madarakani kwasababu ya kutokujua kwetu (Ujinga).

Watu, siasa safi, ardhi, uongozi bora ambayo Mwalimu Nyerere alihimiza (Among others) ni mambo ambayo tunapaswa kuyaangalia kwa undani zaidi.

1. Watanzania kwa maana ya Watu, wapo na nzuri zaidi ni wakimya (wapenda amani walio wengi)
2. Siasa Safi, hapa ndipo penye shida. Hatuna siasa safi hapa nchini kwa maana ya malengo mahususi ya kumkomboa Mtanzania. Wale tuliowaweka madarakani wamekiuka miiko ya uadilifu na kuanza kutenda kunyume cha viapo vyao. Unapomuona Mbunge badala ya kukosoa yale mabaya yaliyo ndani ya serikali yeye anasimama na kujadili mapendekezo ya upinzani kwa maana ya kupotosha huwezi kusema tuna siasa safi. Unapoona Katiba ya Tanzania inasema "Tanzania ni Nchi Moja ya Ujamaa na kujitegemea (Katiba ya sasa, sura ya 1:3a), Kimsingi, Uchumi wa kijamaa ni ule wa NATIONALIZATION OF NATURAL RESOURCES, leo hii tumehamia kwenye PRIVATIZATION (Ambao ni mojawapo ya features za Capitalism, utasema siasa yetu ni safi. Kujiteemea wakati kila mwaka Mkopo wa Serikali unaongezeka bila vivid na evident initiatives za kulitatua hili?

3. Ardhi: Hili kila mtu analijua kuwa tunalo INGAWA kwasababu ya mfumo MFU tumeamua kuabudu miungu WAWEKEZAJI na kumfanya Mtanzania wa kawaida kuwa mkimbizi ndani ya nchi yake.

4. Uongozi bora; Hapa ndipo tulipojikwaa, HATUNA uongozi bora kabisa, uongozi usiofikiri hata kidogo, wenye muono finyu (Shortsightedness).

Ahadi ni Trillion 96 wakati budget ya serikali ni Trillion 15 kwa maana kuwa kwa kipindi chote cha miaka mitano, serikali ikiamua kutekeleza ahadi za chama kilichoiunda bila shaka itakuwa ni Trillion 75, bila kufanya jambo jingine?

Narudia tena, tatizo la nchi yetu tutake tusitake SIYO umasikini bali mfumo mfu uliotengenezwa na serikali inayokufa. Wapenda madaraka kwa njia yoyote ile wala siyo MASIKINI katika UMASIKINI wao bali MATAJIRI katika UBINAFSI wao.

Siungi mkono hoja
 
Adui yetu mkubwa zaidi ni CCM na umaskini wetu umeletwa na CCM, UAMSHO nayo imeletwa na CCM, Kila unachokiona kiko hovyo kimeletwa na CCM, CCM NI JANGA LA KITAIFA, CCM ni Hatari zaidi ya UKIMWI, UKOMA na Magonjwa mengine Mengi Sugu. Kuendelea kuwepo kwa ccm ni KUANGAMIZA MAISHA YA WATANZANIA na Raslimali zake. Na CCM ni CHUKIZO hata Kwa MUNGU na Alaaniwe kila anaesaidia Uwepo wa CCM!

Na kweli yote hayo na mengine mengi yamasababishwa na ccm! Ungozi mbovu usio na tija na uwajibikaji pale wanapokosea umeletwa na ccm bila kusahau rushwa ambayo imeanzia kitaifa na mpaka sasa mpaka ndani ya familia imeletwa na ccm! Mpaka kwenye matangazo sasa watu wanatangaza rushwa mfano ni tangazo la magodoro ya compfy
 
Back
Top Bottom