TANZIA Adrian Hillary Stepp afariki dunia

Zollensky

Senior Member
Joined
Jun 23, 2023
Posts
168
Reaction score
232
Habari wanajamvi.

Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Mwandishi wa habari, Adrian Stepp @Adrianstepp ambaye alikuwa mtangazaji wa EATV then Azam Tv.

Aidha, Adrian Stepp alikuwa mwanachama humu.

Jamiiforums pamoja na EATV & Azam Tv wamepoteza mtu muhimu sana.

Binafsi niliwahi mfahamu Adrian kama kijana mchapakazi na mwenye utu, kifo chake kimenipa huzuni sana, sikujua kama angeondoka duniani mapema hivi.



Namuombea pumziko jema huko alipo
Kifo kinauma.
😭😭
 
Pipo are dying my God!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…