- Thread starter
- #81
Aisee, unywaji uliopitiliza ni tatizo.Kilichofanya tujipe moyo wote waliokufa walihusishwa na pombe kali.
Yaani ni karibu karibu kiasi kwamba ukisimama katikati uite kwa sauti basi nyumba zote walipokuwa wanaishi wangesikia.
Aisee, unywaji uliopitiliza ni tatizo.Kilichofanya tujipe moyo wote waliokufa walihusishwa na pombe kali.
Yaani ni karibu karibu kiasi kwamba ukisimama katikati uite kwa sauti basi nyumba zote walipokuwa wanaishi wangesikia.
Sana, Tena alikuwa anaonekana mbeleni atakuja ku-take over kwenye tasnia ya habari.Alikuwa mtu poa