TANZIA Adrian Hillary Stepp afariki dunia

TANZIA Adrian Hillary Stepp afariki dunia

Habari wanajamvi.

Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Mwandishi wa habari, Adrian Stepp @Adrianstepp ambaye alikuwa mtangazaji wa EATV then Azam Tv.

Aidha, Adrian Stepp alikuwa mwanachama humu.

Jamiiforums pamoja na EATV & Azam Tv wamepoteza mtu muhimu sana.

Binafsi niliwahi mfahamu Adrian kama kijana mchapakazi na mwenye utu, kifo chake kimenipa huzuni sana, sikujua kama angeondoka duniani mapema hivi.

View attachment 3299783

Namuombea pumziko jema huko alipo
Kifo kinauma.
😭😭
Rip
 
KIla mtu ataondoka Dunia hii pole sana wote mlioguswa
 
Habari wanajamvi.

Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Mwandishi wa habari, Adrian Stepp @Adrianstepp ambaye alikuwa mtangazaji wa EATV then Azam Tv.

Aidha, Adrian Stepp alikuwa mwanachama humu.

Jamiiforums pamoja na EATV & Azam Tv wamepoteza mtu muhimu sana.

Binafsi niliwahi mfahamu Adrian kama kijana mchapakazi na mwenye utu, kifo chake kimenipa huzuni sana, sikujua kama angeondoka duniani mapema hivi.

View attachment 3299783

Namuombea pumziko jema huko alipo
Kifo kinauma.
😭😭
Azam inawatoa kawafara watangazaji wa Ile dini nyingine
 
Oooh pole kwa familia yake apumzike salama young boy. Kisa cha kifo ni nini?
 
Hapo Azam TV juzi kafariki mdada mmoja, leo Adrian! RIP Adrian.
 
Back
Top Bottom