Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 9,293
- 12,874
Weeee mchawi hebu andika ulichofokiria please.
Weeee mchawi hebu andika ulichofokiria please.
Aliumwa???Habari wanajamvi.
Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Mwandishi wa habari, Adrian Stepp @Adrianstepp ambaye alikuwa mtangazaji wa EATV then Azam Tv.
Aidha, Adrian Stepp alikuwa mwanachama humu.
Jamiiforums pamoja na EATV & Azam Tv wamepoteza mtu muhimu sana.
Binafsi niliwahi mfahamu Adrian kama kijana mchapakazi na mwenye utu, kifo chake kimenipa huzuni sana, sikujua kama angeondoka duniani mapema hivi.
View attachment 3299783
Namuombea pumziko jema huko alipo
Kifo kinauma.
😭😭
SifahamuAliumwa???
Daah, ndio maisha lakini, Inasikitisha sana.Mimi ndio nimejua leo kuwa kafariki. Apumzike kwa amani.
Hatunae tena, hata mimi bila kuona amepostiwa Twitter nisingejua kama amefariki.Duh!
Ndio najua leo kuwa huyu mwamba kafariki...
Gone too soon young fella!
Acha tu Mkuu.Hivi ni kwamba sasa hivi vijana ndo tunakufa sana kwa speed ya ngiri mkia juu ama ni kawaida tu kama zamani sema sasa hivi mitandao inasaidia kusambaza taarifa?! Maana aiseeh sasa hivi ukikaa kidogo tu taarifa ya msiba wa kijana, halafu sasa hivi kuna jinamizi linawaandama waandishi wa habari vijana ama vijana kutoka vyombo vya habari, shida nin
Sad 😢Rip Adrian....
Nilimfahamu toka akiwa EATVSifahamu
Kuna vitu vipo nyuma ya pazia watu hawajuiRIP Azam watu wanadondoka Sana
Alikuwa mtu poaNilimfahamu toka akiwa EATV
Vitu gani hivyo Mkuu?Kuna vitu vipo nyuma ya pazia watu hawajui
Daaah, ningekimbia huo mtaa, inaonekana Israel aliweka kambi hapo.Mtaani kwetu mwaka jana vijana wanne wa wa umri wa 25 hadi 40 wamepukutika mfululizo hadi tukatamani kukimbia.
Ila tuseme tu kazi yake mola haina makosa.
Kilichofanya tujipe moyo wote waliokufa walihusishwa na pombe kali.Daaah, ningekimbia huo mtaa, inaonekana Israel aliweka kambi hapo.