sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Yupo jukwaa la siasa. Hasira za Igunga bado hazijamwisha... Usimfuate huko, mwache amalize hasira zake!..lolmwambie huyo! Lol! Namtafuta shemeji yako sijui kaingia jukwaa gani sahv.
Yupo jukwaa la siasa. Hasira za Igunga bado hazijamwisha... Usimfuate huko, mwache amalize hasira zake!..lolmwambie huyo! Lol! Namtafuta shemeji yako sijui kaingia jukwaa gani sahv.
GZ, mbona kama unatudanganya? ulijoin january, sasa tuko october una post 45... ndio addiction hiyo? Au una ID kadhaa?Jamani wanajf,hili jukwaa nimekuwa addicted nalo kupita kiasi. Sina tofauti na wale watumia madawa ya kulevya kama bangi. Ninaweza kulala bila kuongea na gf lakini sio kuchek jf na hasa MMU. Je hii addiction nikiendelea nayo haitaniadhiri kimahusiano? Wale walio kwenye serious relationship kama ndoa watuambie namna wanavyobalance muda wao wa kuwa na wapenzi wao na muda wa kuwa mtandaoni.
Lol... Usijali my lovely wifi...kakako yupo, tena bukheri kabisaa!..tumemaliza honeymoon jana...afu tumepangiana mida ya kuingia jf ili kulinda ndoa yetu changa...atakuja kukusalimu baadae ila uhakikishe husni hatakuwepo! Love you sana!
Umeanza kusema siri za kakako hadharani eeh? Am watching you!Mchiriku??? lol Mbona Sangara husema ana matege.....
Yap i know King ndo namba moja!... Kuhusu kumtake care your kaka shaka ondoa mpendwa.. Nashukuru kwa kunipenda wifi yangu...lolMy second Best Wifi (I know u know first ni King).... Hio ni GREAT news hivo sasa nina AMANI..... Love you more' (and please take care of him ipasavo....lol...)
Jiulize kati ya wife na jf kipi kina thamani kwako...ukipata jibu utaweza kurekebisha.Jamani mi hatupatani na wife wangu kisa ananiambia niko bize na jf, kasema au nimeoa jf? NAJITAHIDI KUREKEBISHA NASHINDWA NIFANYEJE?
Hakuna mahusiano kati ya idadi ya posts na addiction. Wapo watu wapo silent lakini wanafuatilia discussion zote.GZ, mbona kama unatudanganya? ulijoin january, sasa tuko october una post 45... ndio addiction hiyo? Au una ID kadhaa?
Kuna watu wanajoin na siku ya kwanza anapiga 100+, that is addiction sasa
Mtambuzi umetambua.Wewe una lako jambo..................
MMU ndio nini?
haelewi alisemalo huyu!!!anachati na shontolinto wake pmgz, mbona kama unatudanganya? Ulijoin january, sasa tuko october una post 45... Ndio addiction hiyo? Au una id kadhaa?kuna watu wanajoin na siku ya kwanza anapiga 100+, that is addiction sasa