Actually Magufuli was not a presidential material

Actually Magufuli was not a presidential material

There is always a say that survival of the fittest. Actually jpm was not a presidential material and this made him be like a monster because he did not not know where to start and where to end.
Yan lile lilikuwa ni jitu tu likajikuta Rais eti😂
 
We ni mpumbavu na kiingereza chako hicho cha veta.
Nyau we
 
Watu wanateseka kwa sababu bado watu wameumizwa na yule firauni laanatullahi magufuli kuna waliofanywa vilema wa maisha kuna waliouliwa jamaa zao kuna waliovunjiwa majumba nk
Haya Tulieni mama amekuja kuwaponya 😂
 
It's not true!, ni Mungu ndie huweka serikali za mataifa, kitendo cha JPM kuwa rais, hicho pekee tuu, ni uthibitisho wa mpango wa Mungu!, kila kitu ni Mungu anapanga!.

Ili mtu yoyote uweze kuwa rais wa nchi yoyote, ni lazima kwanza upate kitu kinachoitwa Kibali!.

Hiki kibali kinatolewa na YEYE, na huwa kina masharti na maelekezo, ukikamilisha kibali kinakuwa kimeisha muda wake, ukikiuka , kibali kinafutwa anapewa mwingine!.

Kilichotokea kwa JPM ni kibali cha one term only, tena watu humu tulishauri sana tuu kama hapa
- Magufuli, "Kama Unaona Kazi ya Urais ni Ngumu Kwako, Jiuzulu! ".

Alipolazimisha 2nd term, kibali chake kikafutwa Magufuli alikuwa na kibali kikafutwa! Rais ni kibali, anajitambua? Je, tumsaidie atimize matakwa ya kibali chake ili kisifutwe, au tumuachie mwenyewe?

Mwisho Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

P
7th 🇹🇿 president ni LISSU.✍️📌
 
Mimi sio mwana ccm, na natamani hili chama la mboga mboga litoke madarakani kwa namna zote.

Lakini Magufuli alikua JEMBE
Magufuli anachukiwa/alichukiwa na wezi wote, vyeti feki wote, wenye mitandao wote, waliotibuliwa dili chafu wote.

Ndio mana alipata wanafiki wengi nyuma yake ambao moyoni walimchukia ila kwenye jua walijipata kumsifia kwa kila namna.

Hii nchi yetu ina watu wazembe wengi, wala rushwa wengi sana, wakwepa kodi wengi sana, haya makundi yote huwezi kuishi nayo kwa kuyabembeleza lazima ukubali kuchukiwa.

Hata wewe mtoa mada leo ukikabidhiwa hii nchi kama kweli una nia ya dhati ya kuikomboa nchi, na kuitakia mema maamuzi yote ya msingi utakayofanya lazima yatawaumiza wachafu wote, nawe utajikuta uanchukiwa na kila mwenye uchafu wake.

Nimemaliza.
 
Tanzania kumejaa watu wanafiki na wachumia tumbo!!
Subiri hata Rais Samia atakapomaliza muda wake!watu wale wale ambao Kila wakati mama,mama ndio watakuwa wa kwanza kumnanga!!
Utasikia tu, hakukuwa na Rais pale!!
Sasa kama watamponda Watu wale wale ambao wanakula naye Mema Ya Nchi kwa namna wanavyotaka sisi wengine tun kosa gani?
 
Magufuli alikuwa kiongozi sahihikwa Tanzania bila kujali kama alikuwa kiongozi mzuri au hakuwa kiongozi mzuri ila kwa hali ilivyo Tanzania basi Magufuli ndio alikuwa mtu sahihi .
 
Mimi sio mwana ccm, na natamani hili chama la mboga mboga litoke madarakani kwa namna zote.

Lakini Magufuli alikua JEMBE
Magufuli anachukiwa/alichukiwa na wezi wote, vyeti feki wote, wenye mitandao wote, waliotibuliwa dili chafu wote.

Ndio mana alipata wanafiki wengi nyuma yake ambao moyoni walimchukia ila kwenye jua walijipata kumsifia kwa kila namna.

Hii nchi yetu ina watu wazembe wengi, wala rushwa wengi sana, wakwepa kodi wengi sana, haya makundi yote huwezi kuishi nayo kwa kuyabembeleza lazima ukubali kuchukiwa.

Hata wewe mtoa mada leo ukikabidhiwa hii nchi kama kweli una nia ya dhati ya kuikomboa nchi, na kuitakia mema maamuzi yote ya msingi utakayofanya lazima yatawaumiza wachafu wote, nawe utajikuta uanchukiwa na kila mwenye uchafu wake.

Nimemaliza.
Aliwakandsmiza hadi baadhinya hao "wanyonge" mkuu
 
There is always a say that survival of the fittest. Actually jpm was not a presidential material and this made him be like a monster because he did not not know where to start and where to end.
Vyeti feki mtaongea Mengi kuhusu Magufuli hakuna litakalo wasaidia amekwisha watumbua sasa

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Watu wanateseka kwa sababu bado watu wameumizwa na yule firauni laanatullahi magufuli kuna waliofanywa vilema wa maisha kuna waliouliwa jamaa zao kuna waliovunjiwa majumba nk
Kwahiyo wataishi na hiyo chuki kwa maisha yao yote?
 
Aliwakandsmiza hadi baadhinya hao "wanyonge" mkuu
Ila bado walimlilia sana alipokufa na kwenda kumuaga na hadi leo bado wanamlinganisha Samia Jiwe kila wanapokosoa utawala wa Samia.
 
Ningekua na rank nyuzi za humu, then uzi hu ungeshika nafasi ya kwanza kati ya nyuzi TAKATAKA kwa mwaka 2025, tofauti yake ni kwamba umeandikwa kwa lugha ya kigeni, baasi. 🚮 🗑
 
Ila bado walimlilia sana alipokufa na kwenda kumuaga na hadi leo bado wanamlinganisha Samia Jiwe kila wanapokosoa utawala wa Samia.
HAo wanyonge aliowakandamiza hawakumlilia --- wanyonge wengine walimlilia
 
Back
Top Bottom