Actually Magufuli was not a presidential material

Actually Magufuli was not a presidential material

DHana kwamba Magu wamemuua + Rais mwanamama wa kizenji


Hayo mawili mimi ndo naona sababu
Kukubalika kwa Jiwe hakujaanza alipokufariki tu bali ni tokea akiwa hai madarakani, hiyo dhana ya ujinsi na uzanzibari haikuwa hivyo mwanzoni wakati anapokea hiyo nafasi alikubalika sana tu ila kadri muda ulivyozidi kwenda ndio hali ikabadilika hivyo binafsi sio mashiko katika hiyo hoja.
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Kukubalika kwa Jiwe hakujaanza alipokufariki tu bali ni tokea akiwa hai madarakani, hiyo dhana ya ujinsi na uzanzibari haikuwa hivyo mwanzoni wakati anapokea hiyo nafasi alikubalika sana tu ila kadri muda ulivyozidi kwenda ndio hali ikabadilika hivyo binafsi sio mashiko katika hiyo hoja.
Sawa mkuu
 
Watu wanateseka kwa sababu bado watu wameumizwa na yule firauni laanatullahi magufuli kuna waliofanywa vilema wa maisha kuna waliouliwa jamaa zao kuna waliovunjiwa majumba nk
Walioumizwa na utawala wa JPM ni majizi,wauza unga na wanaoishi kxa ujanja ujanja.. kwenye maombolezo ya kifo chake watu 45 walipoteza maisha pale uwanja wa Mkapa.. na nchi nzima ilimulilia isipokuwa mafisadi .. hii inadhihirisha ni jinsi gani aligusa wananchi wake..nashindwa kupata picha huyu Kahaba wenu akitwaliwa ataombolezwa na nani ?
 
Vjana waliumizwa sana mana for five years hakuna ajira serikalini wala private sector
Walioumizwa na utawala wa JPM ni majizi,wauza unga na wanaoishi kxa ujanja ujanja.. kwenye maombolezo ya kifo chake watu 45 walipoteza maisha pale uwanja wa Mkapa.. na nchi nzima ilimulilia isipokuwa mafisadi .. hii inadhihirisha ni jinsi gani aligusa wananchi wake..nashindwa kupata picha huyu Kahaba wenu akitwaliwa ataombolezwa na nani ?
 
Walioumizwa na utawala wa JPM ni majizi,wauza unga na wanaoishi kxa ujanja ujanja.. kwenye maombolezo ya kifo chake watu 45 walipoteza maisha pale uwanja wa Mkapa.. na nchi nzima ilimulilia isipokuwa mafisadi .. hii inadhihirisha ni jinsi gani aligusa wananchi wake..nashindwa kupata picha huyu Kahaba wenu akitwaliwa ataombolezwa na nani ?

Yaani wale waliokufa kwa yeye kulazimisha kuwa Raisi bila kuchaguliwa Hao ni majizi , na wauza unga ? , Inabidi upelekwe Mirembe kutibu akili yako
 
Yaani wake waliokufa kwa kujilazimisha kuwa Raisi bila kachaguliwa Hao ni majixi , na wauza unga ? , Inabidi upelenwe Mirembekwa akili hiyo
Hebu andika vizuri nikuelewe kilamba mav wa Mama !
 
Hakuna binadamu anayependwa na watu wote,Na pia hakuna kiongozi atakayekubalika kwa watu wote anaowaongoza,Kwasababu kila binadamu ana mtazamo wake na kamwe huwezi kuwaridhisha wote.Kwahiyo ata ulichokiandika ni mtazamo wako binafsi kwasababu wako wenye mtazamo tofauti nawako.Kwakua hakuna chuo chakusomea urais tukubali kua alifanya sehemu yake na watakaokuja watafanya sehemu yao.
 
Hakuna binadamu anayependwa na watu wote,Na pia hakuna kiongozi atakayekubalika kwa watu wote anaowaongoza,Kwasababu kila binadamu ana mtazamo wake na kamwe huwezi kuwaridhisha wote.Kwahiyo ata ulichokiandika ni mtazamo wako binafsi kwasababu wako wenye mtazamo tofauti nawako.Kwakua hakuna chuo chakusomea urais tukubali kua alifanya sehemu yake na watakaokuja watafanya sehemu yao.
 
There is always a say that survival of the fittest. Actually jpm was not a presidential material and this made him be like a monster because he did not not know where to start and where to end.
Sijui maana ya uongozi ila magufuri alikuwa the best leader ever
 
There is always a say that survival of the fittest. Actually jpm was not a presidential material and this made him be like a monster because he did not not know where to start and where to end.
sikuhizi kuna mpaka ChatGPT, ukiiuliza inakuelekeza namna ya kuandika kiingereza fasaha kuepuka fedheha ndogo ndogo kama hizi. Tukirudi kwenye mada, JPM was the right president at the right time for Tanzania, the rest is bullshit.
 
Back
Top Bottom