Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,225
- 128,987
Kitendo cha JPM kutwaliwa ni kufutiwa kibali, kibali hicho akapewa Samia, ni uthibitisho Samia ni kibali Samia ni mpango wa Mungu kwa Tanzania: Kwa hili atabarikiwa, Taifa litabarikiwa. Asante Mungu kwa Samia, Mungu mbariki Samia, Mungu ibariki Tanzania!Kibari cha Samia nacho kimefutikaka japo jk na genge lake wanalazimisha kwa manufaa yao binafsi
Ila kwa mujibu wa hoja HII kibali chake kilikuwa mpaka 2025 tuu!.
Taarifa za kibali cha 2025 -2030 ziko kwenye mchakato!
P