ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

Kwani kile chama kilikuja juu ni kikahusishwa kwa mwanasiasa hamad rashid kuhamia huko ni kipi na hiki ni kipi.ila all in all i d'ont think kama itatokea siku upinzani ukadumu coz check the history tilikua na NCCR ikapotea ikaja CUF nayo hainokani kama ni wapinzani tena nw CHADEMA ambayo iko mbioni kuzimika sasa how are these guys going to changr tht.i am dissappointed with siasa ya tanzania its usanii tu. Labda kina strategy inayotumika kuvibomoa hv vyama n until hilo ligundulike there wl be never chama cha siasa kitakachoweza kubadili hayo.ni hayo tu mazee
 
cdm inajivuruga yenyewe hakuna mchawi juu ya kifo cha cdm na ccm. Vyama hivi vyote (ccm n cdm) vinampango wa kuwanya wtz masikin milele. Acha act chama cha vijana kisichokua na mmiliki. Wamiliki ni watanzania wote wapenda mandeleo.

mimi ni kijana wa kitanzania lakini act siyo chama changu.hiyo itakuwa genge la wauza sembe na wavuta bangi.
 
rafiki yangu narudia hivi kelele kama hizi tulisikia dimond jubilee 2010 kupitia wazee fulani but am telling that mimi sio chadema lakini mikakati ya hawa vijana ni sawa chama fulani kilichoanzisha harakati zaqke 1995 kwa lengo la kuwakomboa watu wa kundi fulani linalodhani kuwa linaddimizwa na kundi fulani

zitto kwa kutokujua au kwa kujua ataingia kwa mtego huo wa kutetea kundi fulani la watu fulani kwa wakati fulani while geting support from watu fulani na hii tumeisikia kwenye makongamano mengi na harakati nyingi ya vikundi fulani


mathematically proof
kwenye chama chochote chenye usajili wa kudumu lazima kiwe na wafuasi wenye tabia fulani

  1. Watu wenye upeo wa kitaifa
  2. Watu wenye upeo wa makundi fulani
  3. Watu wenye upeo wa Matumbo yao na familia zao
let

  1. let X be Watu wenye upo wa kitaifa
  2. let Y be wenye upeo wa makundi ya yaliyowatuma
  3. Let z be Watu wenye upeo wa Matumbo yao na familia zao

CCM
  1. watu wenye tabia Z ni wengi sana (kwa mfano ......unajua )
  2. watu wenye tabia y ni wastani, Watu hawa ni watu walioamia kutoka chama fulani cha Siasa huku wakiwa na malengo ya kumsaidia mwenyekiti wa CCM katika kulitimiza lengo la kundi la (Note that, this are not CCM , Hawana kadi ya CCM na ndio mashabiki wakubwa wa CCM na ndio wapiga kelele na kutukana kwenye Blogs)
  3. Watu wenye tabia X ni wachache sana (nahisi mwakembe na magufuli tunaweza kuwalazimisha kuingia hapa although am not sure )

CHADEMA
  1. Watu wenye tabia Z ni wachache sana
  2. watu wenye tabia Y ni wachache pia, hawa ni watu ambo walianza siasa wakiwa na mitazamo X lakini waliposhawishiwa na wazee, viongozi wakuu wa CCM na vyama vingine vya siasa vyenye idadi kubwa ya watu wenye tabia Y, vijana hawa wa chadema walibadilika toka tabia X na kwenda tabia Y kwa lengo la kuunganisha nguvu katika kutetea maslai ya makundi na baadhi ya watu
  3. Watu wenye tabia X ni wngi sana , Andi these people ndio watakifanya chama cha chadema na nguvu hata kikitisha CCM

CUF

  1. watu wenye tabia Z ni wachache sana kabisa
  2. watu wenye tabia Y ni wengi sana sana kabisa
  3. watu wenye tabia X ni wachache sna

ACT
ACT akiwezi fanikiwa kwasababu watanzania wanamatatizo mengi ambayo wenye kuyatatua lazima awe mtu mwye mtazamo wa kitaifa( nishati ya tanzania, maliasili zetu, ardhi yetu na sio kigoma yetu au KLM yetu )
NB
kwasababu basi chama cha ACT kinaanzishwa huku kikiwa na na wafuasi wenye Tabia Y
  1. kinahitaji kuchukua watu wache kutoka chadema ambao They call them wasaliti ,wamefanikiwa kwasababu chadema haitaki wasaliti
  2. kichukue watu wa wastani CCM wenye tabia Y ambao wanakadi ya Chama fulani cha siasa na ni wapinzani wakubwa wa Lowasa kwasababu EL hana maslai na kundi lao , ACT bado hakitafanikiwa kwsababu watu wenye tabia Y bado wana matumaini ya Lowasa kutolewa kwenye kinyang'anyiro cha uraisi
  3. wachukue watu wengi kutoka CUF wenye tabia Y ambao ni majority, Cuf si rahisi kuridhia chama chao kife kwa kukiimarisha ACT

hayo ni Maoni yangu ambayo naamini ni Sahihi kabisa kwa siasa ambayo nimeona vyama hivi vikifanya for more than 15 year

Very poor mind!
 
Mkuu uwe mwepesi wa kuelewa na kudadafua mambo kwa busara. Kisiasa neno vijana hutimika ku depict watu wote wenye uwezo, sifa, morale, wa kupambana na adui yaani nguri wapinga maendeleo. Pia bila kuachilia mbali kuwalinda na kuwasamini makundi ya watu wote yaani watoto, wazee, walemavu nk.

Acha uongo bwana usihalalishe sentensi ya uongo kuwa ya ukweli.
 
viongozi wake ni jamii nzima ya watanzania

mkuu we msahaulifu kinoma,kwenye post umesema katika ACT viongozi wake ni wasomi,hakuna zero,halafu hapa unasema viongozi wake ni jamii nzima ya watanzania,hivi ktk jamii nzima ya watanzania utakosa zero?,hivi watanzania wote ni wasomi kwa maana ya wewe? huoni kama umejichanganya na hujui unachoandika.kama hoja hii tu unasahaui je mambo makubwa inakuaje?
 
mkuu we msahaulifu kinoma,kwenye post umesema katika ACT viongozi wake ni wasomi,hakuna zero,halafu hapa unasema viongozi wake ni jamii nzima ya watanzania,hivi ktk jamii nzima ya watanzania utakosa zero?,hivi watanzania wote ni wasomi kwa maana ya wewe? huoni kama umejichanganya na hujui unachoandika.kama hoja hii tu unasahaui je mambo makubwa inakuaje?

Hajielewi huyo
 
@ abakorakamo wewe mzima kweli, vijana gani tujiunge kwenye chama chenye mkono wa makachero na ufadhili wao, huyooo mdini na mkabila ndiye msomi acheni kutumia ujinga wa tanzania kuwaibia ninyi makanjanja.......hicho si chama cha kigoma japo wanakigoma waelewa hawawezi kupoteza muda kwenye hilo genge la wasariti

Mdini ni nani kiongozi maana hichi chama hata mwanzilishi wake hajulikanai wala hajasimama mtu kusema hicho ndio chama chake na yeye mdio mwenyekiti but nasikia mchakato tu wa chama kuja but naona umetoa na mwongozo wa udini na ukigoma sio tuweke wazi ni chama cha nani.
 
mkuu we msahaulifu kinoma,kwenye post umesema katika ACT viongozi wake ni wasomi,hakuna zero,halafu hapa unasema viongozi wake ni jamii nzima ya watanzania,hivi ktk jamii nzima ya watanzania utakosa zero?,hivi watanzania wote ni wasomi kwa maana ya wewe? huoni kama umejichanganya na hujui unachoandika.kama hoja hii tu unasahaui je mambo makubwa inakuaje?

sema kama unataka kujua majina yao acha kashfa
 
Back
Top Bottom