OTIS
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,252
- 833
Wewe ndio Yericko Nyerere wa ACT?
Last edited by a moderator:
we ni chizi
wengine tu wageni na hiki chama je waweza toa majina ya safu ya uongozi wa chama? au hawajulikani
Inavoonesha ni chama cha kishirikina,mbona viongozi wake hawajulikani? halafu ni cha kibaguzi,mbona hakiwajali watoto na wazee
Inavoonesha ni chama cha kishirikina,mbona viongozi wake hawajulikani? halafu ni cha kibaguzi,mbona hakiwajali watoto na wazee
acha kupotosha watu wewe...mwehu we
we msukule wa slaa umeshalewa gongo ACT ni Alliance for Change and Transparency. pimbi mkubwa we
Kama maana ya nchi ni wewe, Mumeo na wanenu then you are absolutely right.
Naomba kirefu cha ACT
Imani ya dini yetu
Alliance for Change and Transparency
Unatoa ufafanuzi wewe kama nani?
Wakuu,
Baada ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kupoteza uelekeo na kusambaratika, hatimae chama mbadala wa CHADEMA kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni ACT.
ACT ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
Sera kuu ya ACT ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala kikanda kama vyama vingine
Naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha ACT.
Naomba kuwakilisha hoja.
Mkuu.
Alliance for coward traitors wanapata posho zao kutoka Magambani.
Nasikia Boss wao mshahara wake unapigwa panga kwa amri ya mahakama kufuatia uropokaji wake usio na ushahid na wenye kutaka sifa.
alliance for cowards and traitors
Huyo ni muhuni kama muhuni mwenzake MM
Habari nilizonazo ni kwamba bendera ya ACT ina nyota inayowakilisha waislam.
Mkuu tupia hapa picha ya bendera ya ACT kukanusha hayo.
Boko haram abakorakamo kama zinaendeana vile Ki semantik Ki Pronaunsiesheni na Mpaka style ya uandishi na mitizamo.ACT ndio mambo yote endeleeni kutokwa na povu makamanda.