ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

chama makini cha ACT kinajiandaa kuchukua nchi mwakani
 
ACT ni genge la wahuni....Na wewe Nyakarungu ni mmoja wa hilo genge la wahuni...Wewe ni msemaji wa wahuni ACT
 
Wewe ndo Punguani kabisa kwa kupotoka.
ACT means Alliance for coward traitors

we msukule wa slaa umeshalewa gongo ACT ni Alliance for Change and Transparency. pimbi mkubwa we
 
Wakuu,
Baada ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kupoteza uelekeo na kusambaratika, hatimae chama mbadala wa CHADEMA kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni ACT.
ACT ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
Sera kuu ya ACT ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala kikanda kama vyama vingine
Naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha ACT.
Naomba kuwakilisha hoja.

wengine tu wageni na hiki chama je waweza toa majina ya safu ya uongozi wa chama? au hawajulikani
 
ACT ni kitengo maalum cha CCM kinachoratibu mipango ya kuivuruga Chadema.

CDm inajivuruga yenyewe hakuna mchawi juu ya kifo cha cdm na ccm. Vyama hivi vyote (ccm n cdm) vinampango wa kuwanya wtz masikin milele. Acha ACT chama cha vijana kisichokua na mmiliki. Wamiliki ni watanzania wote wapenda mandeleo.
 
Inavoonesha ni chama cha kishirikina,mbona viongozi wake hawajulikani? halafu ni cha kibaguzi,mbona hakiwajali watoto na wazee
 
Back
Top Bottom