ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

Watu wanaongea sana hawajui mwanzo wa ACT-Tanzania, hawajui misingi yake wala hawajui kuanzishwa kwake, Zitto sio mwanzilishi wala sio mwanachama wa ACT-Tanzania, hofu yenu kwake isiwasababishe mkawa wapiga ramli kila jambo zuri linaloelekea kuvuruga upuuzi wenu mkadhani ni Zitto tu ndiye awezaye kulifanya.....nimekaa kimya sana mnapotosha sana kuhusu ACT-Tanzania sasa nitawajibu...!!

ACT-Tanzania ina historia ndefu kidogo ilianza tangu mwezi 08/2013 mpaka ilipofika mwezi 11/2013 ikawa imekamilisha taratibu zote za awali hata kabla ya mgogoro wa CC ya cdm na Zitto kufikia ulipofikia,
Pamoja na yote hayo mjue hakuna mipaka ya kuwakaribisha watu, hata huyo Zitto akiona inamfaa anakaribishwa sana na wengine wote.

Kuna watu wanajifanya kuwa wanauwezo wa kuandika habari za siri za serikali mbona wameshindwa kujua kuhusu ACT-Tanzania jambo ambalo lingekuwa rahisi sana kwao?
na badala yake wamekuwa watu wa kubuni tu andiko linalowaijia vichwani tu





Mkuu Nyakarungu, naomba tafsiri ya nyota kwenye bendera hiyo ya chama.

Kisha, naomba kujuzwa kadi za ACT zinapatikana wapi hapa Dar. Maana tunazisaka kwelikweli, tunashindwa wapi pa kuanzia.

Vilevile kama kuna uwezekano, ingekuwa vizuri watu tukajuzwa kilichomo ndani ya katiba ya ACT.
 
Mkuu Nyakarungu, naomba tafsiri ya nyota kwenye bendera hiyo ya chama.

Kisha, naomba kujuzwa kadi za ACT zinapatikana wapi hapa Dar. Maana tunazisaka kwelikweli, tunashindwa wapi pa kuanzia.

Vilevile kama una uwezekana ingekuwa vizuri watu tukajuzwa kilichomo ndani ya katiba ya ACT.

nyota ni alama ya ukombozi na maendeleo ya mtanzania
 
Chadema mbona mnaweweseka sana na hiki chama badala ya kufanya siasa mnaanza kugombana na hiki chama kipya au kimewazidi kete nini?
 
Boko haram abakorakamo kama zinaendeana vile Ki semantik Ki Pronaunsiesheni na Mpaka style ya uandishi na mitizamo.
I geuss sio mtu mmoja huyu..

acha kuishi kwa hisia, au na wewe ni enteligensia ya chadema inayopeleka uongo na umbea kwa padri slaa?
 
Last edited by a moderator:
Chadema mbona mnaweweseka sana na hiki chama badala ya kufanya siasa mnaanza kugombana na hiki chama kipya au kimewazidi kete nini?

mkuu, chadema imeshasambaratika, wanatapatapa tu sasa hivi
 
ACT ni mbadara wa CUF kwani ndicho chama kimekuja na mkakati wa kuwakusanyanya waislamu waliokuwa wamesambaa.
Mratibu wa ACT kg ni div 0 ya newman kg na zuzu la kufa mtu linalohubiri udini na ukabila katika kutafuta wanachama.
 
ACT ni mbadara wa CUF kwani ndicho chama kimekuja na mkakati wa kuwakusanyanya waislamu waliokuwa wamesambaa.
Mratibu wa ACT kg ni div 0 ya newman kg na zuzu la kufa mtu linalohubiri udini na ukabila katika kutafuta wanachama.

ACT haina ubaguzi wa dini. kabila wala kanda. ACT ni ya watanzania wote
 
ACT wala haipambani na chadema ni wasiwasi wenu tu!!
 
umesoma kweli wewe, au kama kawaida ya chadema umekimbia shule, unajua nyota ni nini? nyota ni vipande vya mchanga vinavyoakisiwa na jua...poor you

wewe kila mtu ni chadema pimbi kweli unaongea na team lowasa.na kuamini nyota na mwezi ni ibada ya kipepo.lazima raisi ajaye atoke kaskazini
 
Mungu Wangu Naomba uhai niione 2016
 
Back
Top Bottom