mwakaila
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 1,053
- 157
umesoma kweli wewe, au kama kawaida ya chadema umekimbia shule, unajua nyota ni nini? nyota ni vipande vya mchanga vinavyoakisiwa na jua...poor you
Hii kitu umesoma wapi
umesoma kweli wewe, au kama kawaida ya chadema umekimbia shule, unajua nyota ni nini? nyota ni vipande vya mchanga vinavyoakisiwa na jua...poor you
nyota ni alama ya ukombozi na maendeleo ya mtanzania
Hii kitu umesoma wapi
wewe kila mtu ni chadema pimbi kweli unaongea na team lowasa.na kuamini nyota na mwezi ni ibada ya kipepo.lazima raisi ajaye atoke kaskazini
Ka ulizwa Nyakarungu
Anajibu abakorakamo
Haya Boko haram nawe njoo utoe tafsiri yako ya Nyota ya Alliance for coward traitors
Chadema mbona mnaweweseka sana na hiki chama badala ya kufanya siasa mnaanza kugombana na hiki chama kipya au kimewazidi kete nini?
pepo la kwenye makalio yako labda.
CHADEMA mnaongoza kwa wivu il a ikulu noooooooo!
pepo la kwenye makalio yako labda.
Unatoa ufafanuzi wewe kama nani?
Hilo jina la hicho chama kwa kirefu chake lina-sound vizuri sana ila sijui kama jina hilo litatendewa haki kivitendo.
hazina ya misukule iliyobakia na zito. au mnamtaka lowasa nini hawezi kuja kwenye chama cha kiliberali
zito hausiki na ACT
Kwanini
wakuu,
baada ya chama kikuu cha upinzani nchini chadema kupoteza uelekeo na kusambaratika, hatimae chama mbadala wa chadema kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni act.
Act ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
sera kuu ya act ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
Act ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala kikanda kama vyama vingine
naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha act.
Naomba kuwakilisha hoja.
Kwanini