hebu kuwa serious kidogo hatutaki mizaa
Huo ndo ukweli utaamini kesho usipo amini sasa.
hebu kuwa serious kidogo hatutaki mizaa
Huo ndo ukweli utaamini kesho usipo amini sasa.
Nyakarungu...Wewe una wadhifa gani ? Au ndiyo msemaji wa hiki kigenge?
Taarifa za Jikoni ni Kwamba
Mwenyekiti wa ACT ni Zitto Kabwe na Katibu Mkuu ni Samson
Mwigamba.Sijajua wadhifa wa Kitila Mkumbo.
pimbi kweli wewe nina shaka na cheti chako cha ualimu ninyi ndio mna vyeti feki inabidi tukufuatilie
Msidhani demokrasia IPO CHADEMA tu huo niujinga kila MTU ana haki ya kujiunga na chama chochote cha siasa acheni utoto na unafiki
Taarifa za Jikoni ni Kwamba Mwenyekiti wa ACT ni Zitto Kabwe na Katibu Mkuu ni Samson Mwigamba.Sijajua wadhifa wa Kitila Mkumbo.
Unatoa ufafanuzi wewe kama nani?
Ndio maana badala ya kupambana na CCM wao adui yao ni Chadema
Watu wanaongea sana hawajui mwanzo wa ACT-Tanzania, hawajui misingi yake wala hawajui kuanzishwa kwake, Zitto sio mwanzilishi wala sio mwanachama wa ACT-Tanzania, hofu yenu kwake isiwasababishe mkawa wapiga ramli kila jambo zuri linaloelekea kuvuruga upuuzi wenu mkadhani ni Zitto tu ndiye awezaye kulifanya.....nimekaa kimya sana mnapotosha sana kuhusu ACT-Tanzania sasa nitawajibu...!!
ACT-Tanzania ina historia ndefu kidogo ilianza tangu mwezi 08/2013 mpaka ilipofika mwezi 11/2013 ikawa imekamilisha taratibu zote za awali hata kabla ya mgogoro wa CC ya cdm na Zitto kufikia ulipofikia,
Pamoja na yote hayo mjue hakuna mipaka ya kuwakaribisha watu, hata huyo Zitto akiona inamfaa anakaribishwa sana na wengine wote.
Kuna watu wanajifanya kuwa wanauwezo wa kuandika habari za siri za serikali mbona wameshindwa kujua kuhusu ACT-Tanzania jambo ambalo lingekuwa rahisi sana kwao? na badala yake wamekuwa watu wa kubuni tu andiko linalowaijia vichwani tu
![]()
Watu wanaongea sana hawajui mwanzo wa ACT-Tanzania, hawajui misingi yake wala hawajui kuanzishwa kwake, Zitto sio mwanzilishi wala sio mwanachama wa ACT-Tanzania, hofu yenu kwake isiwasababishe mkawa wapiga ramli kila jambo zuri linaloelekea kuvuruga upuuzi wenu mkadhani ni Zitto tu ndiye awezaye kulifanya.....nimekaa kimya sana mnapotosha sana kuhusu ACT-Tanzania sasa nitawajibu...!!
ACT-Tanzania ina historia ndefu kidogo ilianza tangu mwezi 08/2013 mpaka ilipofika mwezi 11/2013 ikawa imekamilisha taratibu zote za awali hata kabla ya mgogoro wa CC ya cdm na Zitto kufikia ulipofikia,
Pamoja na yote hayo mjue hakuna mipaka ya kuwakaribisha watu, hata huyo Zitto akiona inamfaa anakaribishwa sana na wengine wote.
Kuna watu wanajifanya kuwa wanauwezo wa kuandika habari za siri za serikali mbona wameshindwa kujua kuhusu ACT-Tanzania jambo ambalo lingekuwa rahisi sana kwao? na badala yake wamekuwa watu wa kubuni tu andiko linalowaijia vichwani tu
![]()