Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,905
- 28,067
ACT ndo minyoo gani.....Hiko chama tayari kimeshakufa..
Ni nini kirefu cha act?
ALLIANCE OF COWARDS and TRAITORS .
Wakuu,
Baada ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kupoteza uelekeo na kusambaratika, hatimae chama mbadala wa CHADEMA kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni ACT.
ACT ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
Sera kuu ya ACT ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala kikanda kama vyama vingine
Naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha ACT.
Naomba kuwakilisha hoja.
Kama kina dhamira ya maendeleo kwa vijana wote waache walete hayo maendeleo nami kijana nitafaid hata kama nitakuwa CHADEMA.Sijiungi nacho ng'o!2nawajua sana na lengo lenu.
ALLIANCE OF COWARDS and TRAITORS .
mkuu umenena tehe tehe kula rwanda wanaitwa mende
Sijuhi. Lakini kwa kauli ya Mmoja wa Think Tank wao Kitila Mkumbo kuwa Mashoga waachwe basi hili chama ni Liberal na kwa Nchi hii waliberal ni CUF tu. So labda ni Mbadala wa CUF maana CUF ilijengwa Misikitini na Hiki nasikia wanatumia njiahiyohiyo.
Wakuu,
Baada ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kupoteza uelekeo na kusambaratika, hatimae chama mbadala wa CHADEMA kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni ACT.
ACT ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
Sera kuu ya ACT ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala kikanda kama vyama vingine
Naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha ACT.
Naomba kuwakilisha hoja.
we toothpick ni taahira
ACT ndo minyoo gani.....Hiko chama tayari kimeshakufa..
Wakuu,
Baada ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kupoteza uelekeo na kusambaratika, hatimae chama mbadala wa CHADEMA kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni ACT.
ACT ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
Sera kuu ya ACT ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala kikanda kama vyama vingine
Naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha ACT.
Naomba kuwakilisha hoja.
Chema CHAJIUZA,kibaya CHAJITEMBEZA!
Peooooooples Poweeeeeeerrrrrrrrrrrrr!
Umeanzisha sred Kama Bango la CHAMA hiki, lakini Unayoyaongea yanakidhalilisha CHAMA . Hatuamzishi VYAMA kumpiku huyu au Yule . Tunaanzisha VYAMA kutokana an Sera tunazoamimi wananchi watazipenda.