Acheni kujichubua

Acheni kujichubua

Mademu wa morogoro wanaojiuza dar wao wakifika kwanza kazi ni kujichubua, kuchora tattoo, kuvuta bangi na sigara na shisha, ugoro, unga na umalaya uliozidi. Mwenge, manzese, sinza na mwananyamala mademu wafupi kutoka moro wamejazana kwenye gesti uchwara wanauza ten shaw time.
Uatafatwa ueleze wako guest ipi
 
wanaume wanajichubua wakikaa kwenye joto au jua kidogo tu wanakua hawaoni vizur wanabadilika rangi kabsaaaa unaweza kuta kila mtu anamshangaa kumtazama na huwa wanajishtukia na kuona aibu sana wanatamani kupaa kutoka kwenye eneo walilopo...
Kuna mmoja nilimuona kajichubua Hadi nzi wanamfata fata Kila muda Yani nikasikia kinyaa sana
 
Mwanamke ni pambo lazima apendeze, kujipodoa ni tofauti na kujichubua, wanatumia bidhaa za bei chee ndio maana wanababuka ngozi
Kuna wengine wanajichubua kwa makusudi weusi hawaukubali...vipodozi gani hivyo vya rahisi vinavyomfanya mtu awe mweupe badala ya weusi alioumbwa nao?

Tuanze na Wema, hajajichubua yule? Ndio kusema anatumia vipodozi vya bei rahisi?
 
Hapana mkuu, labda huko bonyokwa ndani ndani wameanza kumistake
Skin care (utunzaji wa ngozi) na bleaching (kujichubua).

Skin care simply ni kuijali ngozi kwa kuwahusisha/kuhusisha products ambazo zimethibitishwa na madaktari wa ngozi wa “kimataifa “. (Certified international Dermatologists)

Of which skin care kuna za watoto, wanawake na wanaume kulingana na mahitaji ya ngozi husika.

Mkuu, asante kwa taarifa. Huku kwetu Chitipa wote wanaojichubua ndo wanaita skin care.
 
Kuna wengine wanajichubua kwa makusudi weusi hawaukubali...vipodozi gani hivyo vya rahisi vinavyomfanya mtu awe mweupe badala ya weusi alioumbwa nao?

Tuanze na Wema, hajajichubua yule? Ndio kusema anatumia vipodozi vya bei rahisi?
Hayo ma Carolite na wenzake anaofanana nao, kwa elfu 10 tu anapata mkorogo umechanganywa hadi na Jik,

Wema alimeza kidonge halafu akashindwa kuitunza ngozi yake pengine hakua anajua ila sasa hivi anajitahidi japo ngozi ikiharibika kuirudisha ni kazi sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom