Alfu hawna laza kbsaa yaanj Nina .mmoja japo kajaliwa tako ila kazidisha. Na anapenda sna hyo kitu namuacha rasmi kuanzi sasaunakuta binti kawa karatasi unaona michirizi ya kijani
wacha nikumege siri wanawake wanaojichubua wanakua na harufu kama ya chuma kilichopata moto
Uatafatwa ueleze wako guest ipiMademu wa morogoro wanaojiuza dar wao wakifika kwanza kazi ni kujichubua, kuchora tattoo, kuvuta bangi na sigara na shisha, ugoro, unga na umalaya uliozidi. Mwenge, manzese, sinza na mwananyamala mademu wafupi kutoka moro wamejazana kwenye gesti uchwara wanauza ten shaw time.
Weka picha wa wale waliojichubua mpk mizizi ya kijani inaonekana waziwazi 🤣Tuko nao mitaani wala picha sio lazima ila ukitaka zaidi tutakuletea
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hehehehe wadau hawachelewiUatafatwa ueleze wako guest ipi
Sabuni ya kipande ya citron inaglowisha hatari haichubui na wala haiuzwi ghaliWanunulieni wanawake zenu vipodozi vya bei ghali wapendezeshe ngozi zao, acheni kuwasimanga
Kuna mmoja nilimuona kajichubua Hadi nzi wanamfata fata Kila muda Yani nikasikia kinyaa sanawanaume wanajichubua wakikaa kwenye joto au jua kidogo tu wanakua hawaoni vizur wanabadilika rangi kabsaaaa unaweza kuta kila mtu anamshangaa kumtazama na huwa wanajishtukia na kuona aibu sana wanatamani kupaa kutoka kwenye eneo walilopo...
Hehehehe wakemee mapepo waache kujichubuanawahudumia kwa karibu sana ni wapendwa na ninashauri sana kuachana na hiyo kitu![]()
Mwanamke ni pambo lazima apendeze, kujipodoa ni tofauti na kujichubua, wanatumia bidhaa za bei chee ndio maana wanababuka ngoziSasa si bado wanajichubua hapo, au tofauti inakuwa wapi?
Nakubaliana na wew kbsa hao sio wa Kuoa kbsa ,alafu unakuta mtu kajichubua Hadi nzi wanamfataHivi Nani kawadanganya kuwa ukiwa n mweupe wa kuchovya unakuwa mzuri? Mwanaume usijaribu kuowa mwanamke anaye jichubuwa, utakuja kujuta.
Na unakuta mwingine ana mume wake kabisa, huwa najiuliza huyo mume yupo hapo kama pambo au niaje?




Nasikia kuna kijiko cha buku tu mtu anakua albino ndani ya siku 3Hii nayo point... Utakuta mtu anataka ang'ae Kwa 20k unadhani ataacha kubabuka![]()

Kuna wengine wanajichubua kwa makusudi weusi hawaukubali...vipodozi gani hivyo vya rahisi vinavyomfanya mtu awe mweupe badala ya weusi alioumbwa nao?Mwanamke ni pambo lazima apendeze, kujipodoa ni tofauti na kujichubua, wanatumia bidhaa za bei chee ndio maana wanababuka ngozi
Ngozi lazima itunzwe, kama mwanaume ni wajibu wako kwa mwanamke wako,Kama wanaume hawana hela za kununua vipodozi vya bei ghali jitahidini kujikubali, hivyo mlivyo mnapendeza na mnapendwa.
Kaka unaulizwa unaishia kuchambwa.Na unakuta mwingine ana mume wake kabisa, huwa najiuliza huyo mume yupo hapo kama pambo au niaje?
Hapana mkuu, labda huko bonyokwa ndani ndani wameanza kumistake
Skin care (utunzaji wa ngozi) na bleaching (kujichubua).
Skin care simply ni kuijali ngozi kwa kuwahusisha/kuhusisha products ambazo zimethibitishwa na madaktari wa ngozi wa “kimataifa “. (Certified international Dermatologists)
Of which skin care kuna za watoto, wanawake na wanaume kulingana na mahitaji ya ngozi husika.
Chausiku au cheupe dawa?Mhidia nini?? Ila niko natural
Usikubali mkuu, mke akijikoboa aibu ni yako. Akibaki natural anapungua nini!!Kaka unaulizwa unaishia kuchambwa.
Inabidi u mute tuu.
Ngoja nianze kuwa mkali SASA.Usikubali mkuu, mke akijikoboa aibu ni yako. Akibaki natural anapungua nini!!
Hayo ma Carolite na wenzake anaofanana nao, kwa elfu 10 tu anapata mkorogo umechanganywa hadi na Jik,Kuna wengine wanajichubua kwa makusudi weusi hawaukubali...vipodozi gani hivyo vya rahisi vinavyomfanya mtu awe mweupe badala ya weusi alioumbwa nao?
Tuanze na Wema, hajajichubua yule? Ndio kusema anatumia vipodozi vya bei rahisi?