Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Kuna kitu Wabongo tunajipa mizigo mizito tusiyoweza kuibeba.
Unakuta mtu ana contacts/followers/friends maelfu ambao huwajui, hamjawahi kuonana, hakuna uwezekano wa kuonana kikazi, hauendani naye lakini anang'ang'ana tu kuwa busy nao, kuchat, kutumiana emojis, picha na mengineyo.
Tuachane na msemo 'Connection ni dili'
Mtu hufanyi naye biashara atakuwaje na manufaa na wewe? Au manufaa ni kula beer, wanawake?
Ni bora niwe na contacts chache zenye manufaa kuliko kujaza MB za bure kwenye kichwa changu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakuta mtu ana contacts/followers/friends maelfu ambao huwajui, hamjawahi kuonana, hakuna uwezekano wa kuonana kikazi, hauendani naye lakini anang'ang'ana tu kuwa busy nao, kuchat, kutumiana emojis, picha na mengineyo.
Tuachane na msemo 'Connection ni dili'
Mtu hufanyi naye biashara atakuwaje na manufaa na wewe? Au manufaa ni kula beer, wanawake?
Ni bora niwe na contacts chache zenye manufaa kuliko kujaza MB za bure kwenye kichwa changu.
Sent using Jamii Forums mobile app