Acha kujidanganya pesa sio kila kitu

Acha kujidanganya pesa sio kila kitu

Tubaki kwenye mada, unafikiri mtu anaweza kumudu kukaa hospital miaka 20 kama hana pesa ya matibabu? Hospital gani itakuruhusu ukae miaka hiyo bila malipo? Mzee, huamini kwamba pesa imemuweka hai hadi leo huyu jamaa?

katika vitu vilivyoumbwa na Mungu, hakuna chenye thamani kuzidi uhai.

Vinavyotengenezwa na wanadamu hakuna chenye thamani kuzidi pesa.
Kwa hiyo kwa binadamu baada ya uhai pesa ndo kila kitu.
Uhai lkn hutembei, huli kikawaida, husemi, hucheki, umekaa tu unafanyiwa kila kitu kama maiti!
Anyway tumuombee aweze kupona na kuinuka. May be anaweza kuja juu hatuwezi kujua
 
Back
Top Bottom