90% zinasolvika kwa pesa then kama 10% tu inabaki, maskini fikiria tunakufa kwa cholera, tajiri atakufa kwa magonjwa ya kushiba na ajali kama hizo za kukimbiza Benz sisi tunakufa kwa magonjwa ya kula majitaka pale kwa mnyamani tunapotafuta ugali wa 500! TofautishaUmeongea vizuri sana.
Pesa ni muhimu sana kuwa nazo lakini haziwezi kuepusha na baadhi ya changamoto hivyo tusipende kusema pesa ni Kila kitu bali tuseme pesa zinasaidia sana.
Ndugu yangu maskini anaamini akipata pesa matatizo yake yoote yataisha.Umeongea vizuri sana.
Pesa ni muhimu sana kuwa nazo lakini haziwezi kuepusha na baadhi ya changamoto hivyo tusipende kusema pesa ni Kila kitu bali tuseme pesa zinasaidia sana.
😀😀😀😀Hujui tu maisha ambayo masikin tunapitia
Ungejua usingeandika haya uliyo andika
Pesa ni kila kitu.Bila pesa ata wiki asingetoboa.
Pesa uzuri wake unatandaza miti at will. Nopussy can cross your path untouched.View attachment 3318502
Huyu hapa Prince Al-Waleed bin Khaled bin Talal, ambaye anafahamika ulimwenguni kwa jina maarufu la “Sleeping Prince” April 18 mwaka huu, alitimiza umri wa miaka 36, ambapo umri huo umemkuta akiwa bado kitandani ‘coma’ bila fahamu zozote.
Mwanamfalme huyo wa Saudi amekuwa kwenye hali hiyo ya kupoteza fahamu ‘coma’ tangu mwaka 2005 kufuatia ajali mbaya ya gari ambayo aliipata Jijini London, Uingereza. Kwa miaka 20 sasa, Maisha ya Prince yanategemea mashine ya kupumulia, hata kula yake ni kupitia mipira.
Yeah, kwa kiasi kikubwa pesa zina solve matatizo ila wakati mwingine kuwa mzima wa afya ni jambo jema zaidi. Kuna jamaa fulani ana pesa nyingi lakini hana miguu hadi akawa anasema bora nisiwe na pesa nyingi kama hizi lakini niwe na viungo vyangu vya mwili.90% zijasolve kwa pesa then kama 10% tu inabaki, maskini fikiria tunakufa kwa cholera, tajiri atakufa kwa magonjwa ya kushiba na ajali kama hizo za kukimbiza Benz sisi tunakufa kwa magonjwa ya kula majitaka pale kwa mnyamani tunapotafuta ugali wa 500! Tofautisha
Ndugu yangu maskini anaamini akipata pesa matatizo yake yoote yataisha.
Hizo ndio hisia za maskini. Ukisikia mtu anakwambia Pesa ni lila kitu moja kwa moja fahaku huyo ni maskini na hayo ndio yaliyojaa kwenye fikra zake.
Pesa hazikumsaidi Mo Dewji asitekwe siku 9 bila kujulikana alipo. Ni rehema tu ya Mungu na wasamalia wema waliomteka waliamua kumrejesha.
Pesa hazikuzuia Dr John Magufuli asiugue na hatimaye Mungu akamchukua.
Pesa hazikuzui Rugemalila asifungwe jela. Pesa hazikumponya Lowasa kwa miaka mingi licha ya kuwa Bilionea.
Pesa itakuondoshea njaa tu ya chakula, mavazi, nyuma, elimu ya wanao, gari na starehe za hapa na pale utafanya.
TrueMoney isn't everything, but everything needs money.
Mkuu Sina cha kuongeza maana umemaliza Kila kitu. Kuna watu wana pesa lakini hawana uwezo wa kupata watoto, wengine wana pesa ila hawana viungo vya miili yao.Ndugu yangu maskini anaamini akipata pesa matatizo yake yoote yataisha.
Hizo ndio hisia za maskini. Ukisikia mtu anakwambia Pesa ni lila kitu moja kwa moja fahaku huyo ni maskini na hayo ndio yaliyojaa kwenye fikra zake.
Pesa hazikumsaidi Mo Dewji asitekwe siku 9 bila kujulikana alipo. Ni rehema tu ya Mungu na wasamalia wema waliomteka waliamua kumrejesha.
Pesa hazikuzuia Dr John Magufuli asiugue na hatimaye Mungu akamchukua.
Pesa hazikuzui Rugemalila asifungwe jela. Pesa hazikumponya Lowasa kwa miaka mingi licha ya kuwa Bilionea.
Pesa itakuondoshea njaa tu ya chakula, mavazi, nyuma, elimu ya wanao, gari na starehe za hapa na pale utafanya.
Zinaweza zikupate pia, ndo maana pesa sio kila kitu.kawiyo ukiwa lofa hizo changamoto hazikupati?
Mimi nimemaliza mkuu....naenda kwenye uzi mwingineMkuu Sina cha kuongeza maana umemaliza Kila kitu. Kuna watu wana pesa lakini hawana uwezo wa kupata watoto, wengine wana pesa ila hawana viungo vya miili yao.
😀😀😀Kwahiyo hapa katika uzi huu watu wanatunishiana misuli ya pesa sio? Ngoja malaika jibulilo aje na panga lake
Umemaliza.Money isn't everything, but everything needs money.
Kila la kheri mkuu.Mimi nimemaliza mkuu....naenda kwenye uzi mwingine
Kinachowapa matumaini, mwaka 2015 alitikisa mkono na vidole hivyo wakaona waendelee kumsubiri huenda ipo siku ataamka.Wanamtesa tu Yote ya nin hayo anaweza kuamka na akafarik mda huo huo
Hii comment yako tu Melo anapata faidaKwani akifa Kuna hasara gani na kuwa hai Kuna faida gani.