Acha kujidanganya pesa sio kila kitu

Acha kujidanganya pesa sio kila kitu

PESA c Kila ktu mleta mada lakin hakikisha unakuwa nazo Kwanzaa nyingi,, ndio upate nguvu yakusema pesa c
FB_IMG_1744485091642.jpg
Kila ktuu maninaa...
 
Kilichomfanya awe hai wala sio pesa ni Neema ya Mungu tu,
Kumbuka alipata ajali na hakufa je pesa inaweza kumuokoa mtu na kifo cha ajali?
Wapo matajiri weeengi wameshindwa kujiokoa na kifo kwa pesa.
Pesa sio kila kitu ndo maana hata bill gate aliachana na mke wake pia jeff bezo aliachana na mkewe pesa hazikuwasaidia kwenye hilo na wanamiliki zaidi ya dollor billion 100.
Pesa inatoa tu utatuzi kwa mambo yanayoshikika( tangable things) lakini haifanyi lolote kwa mambo ambayo hayashikiki
Mfano unaweza nunua mwanamke na kufanya nae mapenzi lakini huwezi kumnunua mwanamke ali akupende utafeli
Asante nawasilisha
Mtoe hapo kwenye hizo mashine uone kama neema ya Mungu itamuacha hai.

Acha kula ili neema ya Mungu isikuue kwa njaa.

Mnaongea pumba wakati hao wachungaji wenu na masheikh wanaowalisha matangopori wanatembelea V8 na kulala chini ya ulinzi mkali KK Security na mbwa. Neema ya Mungu ni kwa sisi walalahoi.
 
Kilichomfanya awe hai wala sio pesa ni Neema ya Mungu tu,
Kumbuka alipata ajali na hakufa je pesa inaweza kumuokoa mtu na kifo cha ajali?
Wapo matajiri weeengi wameshindwa kujiokoa na kifo kwa pesa.
Pesa sio kila kitu ndo maana hata bill gate aliachana na mke wake pia jeff bezo aliachana na mkewe pesa hazikuwasaidia kwenye hilo na wanamiliki zaidi ya dollor billion 100.
Pesa inatoa tu utatuzi kwa mambo yanayoshikika( tangable things) lakini haifanyi lolote kwa mambo ambayo hayashikiki
Mfano unaweza nunua mwanamke na kufanya nae mapenzi lakini huwezi kumnunua mwanamke ali akupende utafeli
Asante nawasilisha
kawiyo ukiwa lofa hizo changamoto hazikupati?
 
Nimekosana na wazazi leo hii hii kisa Pesa

Amenambia maneno magumu mpk nahitaji kumuona mwanasaikolojia private nilipie huduma niende nikaeleze yanayo nisibu Kwa kulia ili moyo wangu usije ukabadilika huku mbele.

Pesa imenionesha kuwa pamoja na uanaume wako unaweza kuaibika vibaya sana Endapo utaitafuta usiikose.

Mkuu ngoja niishie hapa ila nasema PATA PESA KWANZA NDIYO USEME HAYO

Kwa Sasa tunza maneno.
 
Kwa nini pesa hazikumuepusha na ajali?
So controversial brother/sister, haya ni maswali ya kati ya kuku na yai kilianza nini! Hutapata jibu la moja kwa moja. Lakini ukiwa na pesa umesolve zaidi ya 90% ya changamoto za maisha then inabaki 10% ambayo ni kama hizi halafu umesema mwenyewe ni ajali! Kuna ajali inazuilika? Unaweza pata ajali ukiwa umelala kitandani, lakini ajali zinawapata zaidi wasio na pesa kuliko wenye fweza!
 
Wanamtesa tu Yote ya nin hayo anaweza kuamka na akafarik mda huo huo
Hawamtesi sababu hajitambui. Technically huyo mtu anaishi kwa raha kuliko 80% ya Watanzania.

Sababu hana feelings kuumizwa kihisia, hateseki kutafuta kodi wala chakula, haamki asubuhi kudandia daladala na kurudi usiku kutembelea nyumbani kwake kwenye mafuriko, hawazi ada na stress za mapenzi.

Unaweza kuta tunamhurumia humu ilhali yeye ndio angeweza angetuhurumia sisi
 
View attachment 3318502
Huyu hapa Prince Al-Waleed bin Khaled bin Talal, ambaye anafahamika ulimwenguni kwa jina maarufu la “Sleeping Prince” April 18 mwaka huu, alitimiza umri wa miaka 36, ambapo umri huo umemkuta akiwa bado kitandani ‘coma’ bila fahamu zozote.

Mwanamfalme huyo wa Saudi amekuwa kwenye hali hiyo ya kupoteza fahamu ‘coma’ tangu mwaka 2005 kufuatia ajali mbaya ya gari ambayo aliipata Jijini London, Uingereza. Kwa miaka 20 sasa, Maisha ya Prince yanategemea mashine ya kupumulia, hata kula yake ni kupitia mipira.
Karma
 
Watu maskini tunapenda sana kujustify umaskini wetu kwa kuonyesha mali sio kitu wakati mioyoni kwetu tunamwaga machozi tupate uwezo hata kijipasenti kadhaa
 
Watu maskini tunapenda sana kujustify umaskini wetu kwa kuonyesha mali sio kitu wakati mioyoni kwetu tunamwaga machozi tupate uwezo hata kijipasenti kadhaa
Pesa ina thamani hakuna anayekataa Shida ni Nyie maskini mnadhani kwmaba mkipata pesa matatizo yote yataisha. Hizo ndio hisia za kimaskini.

Matajiri tunajua Pesa inatatua njaa tu😀😀😀
 
So controversial brother/sister, haya ni maswali ya kati ya kuku na yai kilianza nini! Hutapata jibu la moja kwa moja. Lakini ukiwa na pesa umesolve zaidi ya 90% ya changamoto za maisha then inabaki 10% ambayo ni kama hizi halafu umesema mwenyewe ni ajali! Kuna ajali inazuilika? Unaweza pata ajali ukiwa umelala kitandani, lakini ajili zinawapata zaidi wasio na pesa kuliko wenye fweza!
Umeongea vizuri sana.
Pesa ni muhimu sana kuwa nazo lakini haziwezi kuepusha na baadhi ya changamoto hivyo tusipende kusema pesa ni Kila kitu bali tuseme pesa zinasaidia sana.
 
Back
Top Bottom