Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 31,147
- 88,822
Dah tokea happ nimekua mkorofi x100.Kama ulikosea ukaomba radhi akagoma, ni sahihi kubeba Hiyo adhabu kama alionao ni sahihi kwako..
Mi nipo hivyo, ila nae ajiandae akija kuingia box, ntachomfanyia atasimulia hadi vinying'inya
auntie hatimaye mmefikiwa wenye ex wenu ebu ukuje hapa uniambie na wewe