According to your Ex, what was your main problem?

According to your Ex, what was your main problem?

Kama ulikosea ukaomba radhi akagoma, ni sahihi kubeba Hiyo adhabu kama alionao ni sahihi kwako..

Mi nipo hivyo, ila nae ajiandae akija kuingia box, ntachomfanyia atasimulia hadi vinying'inya
Dah tokea happ nimekua mkorofi x100.
 
Eti nina bonge la komwe nitamuharibia watoto .Ni kweli nina bonge la komwe hata ndege ikipita mpaka nilale chini ndio naiona.Komwe kama kofia😀😀.
 
Eti nina bonge la komwe nitamuharibia watoto .Ni kweli nina bonge la komwe hata ndege ikipita mpaka nilale chini ndio naiona.Komwe kama kofia😀😀.

komwe kama kichwa Cha treni. Wewe unapaswa kuwa na CHAMA wa simba
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Mkuu kichwa yangu mbovu aisee.. By nature ni mpole ila mtu akishaleta masuala ya kiduanzi aisee...

Kuna demu nilikuwa namfukuzia, nikafika hatua nzuri kabisa. Alikuwa amezoea kuniita chaupole sababu naonekana mpole. Sasa alikuja kujichanganya kutaka kubaki na Hela zangu wakati nimemuagiza dukani.. ananichekea muda huo nipo serious ananletea utani. Nilichomfanyia hakuwahi kutegemea ningefanya kwa nilivyokuwa namkubali. Since then hata salam hakuna na sihitaji tena
Tatizo ubahiri mkuu huna cha u serious wala nini na ukiendelea hvo mkuu sizani kama utatoboa 😂😂😂😂😂
 
Tungi,afu kanataka kunipangia jinsi ya kula pesa zangu..
Nilimuacha siku ameniomba nauli ya kwenda kazini ..,! Kama unakosa nauli ya kwenda kazini hyo kazi haina maana kwako.
 
She damped me because I didn't have the capacity to cater for her needs😢😢
 
Alininyamazia tu....
Na vile hii ni life nikasonga mbele nikaoga na kurudi Soko...
Alikunyamazia tu auntie masikini pole auntie yangu ila maisha lazima yaendelee tu mmekutana ukubwani ya nini kusumbuana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom