Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,666
Imagine Auntie...Alikunyamazia tu auntie masikini pole auntie yangu ila maisha lazima yaendelee tu mmekutana ukubwani ya nini kusumbuana
Nilishapoa sasa....Mambo yanasonga..
Imagine Auntie...Alikunyamazia tu auntie masikini pole auntie yangu ila maisha lazima yaendelee tu mmekutana ukubwani ya nini kusumbuana
Na kumsahau ushamsahau auntie ndio lifeImagine Auntie...
Nilishapoa sasa....Mambo yanasonga..
Nilishasahau...Na kumsahau ushamsahau auntie ndio life

Nilishasahau...
Ukipendwa tena hata unakumbuka sasa...
Si unaelewa haya mambo Auntie...Au siyo wewe![]()

Unasahau kama ulikuwa na mtoto wa mtu ukampenda tunasahau mara moja tuSasa jeUnasahau kama ulikuwa na mtoto wa mtu ukampenda tunasahau mara moja tu




PoleSijui kucare.
Ofcoz hayo mambo ya kumcare mtu mzima mwenye meno 32 mimi yamenishinda hadi leo.
asante mpemba ulijua kunipa raha visiwani