That's called 'it's not you, it's me' trick.Too good for him, he said I deserve better man than him, cause he had no way to change be a better man....😌

Exploitation1. Lack of Capital
2. Forced labor
3. Poor communication
4. Poor infrastructure
5. Unrealiable
6. Lack of transport
7. High Taxes imposition

Mna maneno ya ajabu nyie acha tuu
Mimi huwa siachwi,naacha softly kwa kutopokea simu Wala meseji sijibu. Siku nikimmiss napiga sound mbili tatu tunapasha kiporo.
Kifupi sina ex,Nina wapenzi walio pending.

Mmoja anasema demu wake alimwambia sura pana kama chapatiMna maneno ya ajabu nyie acha tuu

Aiseee nyie wanawake mie nimenyanyua mikono ikija kwenye maneno wakati mnawabwaga wanaume. Roho ga kikatili sana
Ni kweli shuleni hizi points zilikua hazikatai popote, hadi kwenye mahusiano pia1. Lack of Capital
2. Forced labor
3. Poor communication
4. Poor infrastructure
5. Unrealiable
6. Lack of transport
7. High Taxes imposition
Ila mkuu,we mwanaume mwenzangu ila comments zako huwa nazifuatilia.dezaini flani mtu wa no nonsense.mtu akizingua hujali hata hisia zake.Sijui kucare.
Ofcoz hayo mambo ya kumcare mtu mzima mwenye meno 32 mimi yamenishinda hadi leo.
Tupe fully storyNilipenda sana jeshi kuliko yeye....
Ubahili ulipita kiasi
Basi tu,wanawake ukishawajulia hawakuumizi akili mkuuIla mkuu,we mwanaume mwenzangu ila comments zako huwa nazifuatilia.dezaini flani mtu wa no nonsense.mtu akizingua hujali hata hisia zake.
Yani wewe sio wale wenzetu wa kulialia kisa mapenzi.
I was too good for most of my exs 😂😂. That nigga is wildToo good for him, he said I deserve better man than him, cause he had no way to change be a better man....😌