According to your Ex, what was your main problem?

According to your Ex, what was your main problem?

Hii ni kauli ya kistaarabu ya kuacha mtu bila kumuumiza.

Na niliondoka bila kuumia moyoni, bila lawama wala kilio kjwa nimeachwa.

Niliondoka na furaha na amani ya kuachwa kistaarabu...🤣🤣🤣🤣

Nikalipiwa na trip ya Zanzibar siku 2 hotelini niko mwenyewe....😁😁😁

Nimsahau kwa starehe sio kwa huzuni...😆😆😆.

Maisha bana, yana vitimbwi na visa kedekede 😅😅.
 
Na niliondoka bila kuumia moyoni, bila lawama wala kilio kjwa nimeachwa.

Niliondoka na furaha na amani ya kuachwa kistaarabu...

Nikalipiwa na trip ya Zanzibar siku 2 hotelini niko mwenyewe....

Nimsahau kwa starehe sio kwa huzuni....

Maisha bana, yana vitimbwi na visa kedekede .
Huyo alikua na upendo kweli kutoka moyoni
 
Good morning watu wa Mungu.

Basi wakati tukiendelea kuisubiri ndege yetu mpya ya mizigo kutua.nimeona niwaulize haka kaswali.

Juzi kati hapa nimekutana na ex girl wangu,sasa katika story za hapa na pale tukajikuta tunaanza kuulizana viswali vya kichokozi, nilimuuliza tatizo langu kubwa lilikua nini katika yale mahusiano yetu? akanijibu eti aliona kuna jam kubwa sana ya wanawake wanaonitaka hivyo akaona isiwe kesi ngoja awaachie na wengine wafaidi.

So ebu kila mmoja wetu aweke wazi hapa tatizo lake kubwa ambalo ex wake anasema alikua nalo.
Duhh.. sikumbuki
 
Kwanini yeye ndiye awe analia kwenye mzagamuo alafu mimi nimekausha
 
1. Lack of Capital
2. Forced labor
3. Poor communication
4. Poor infrastructure
5. Unrealiable
6. Lack of transport
7. High Taxes imposition
Kuwa serious basi. Wenzako wanashare experience za ukweli ili kujifunza wewe unahangaika na vituko ili uonekane comedian. Sio sawa bwana.
 
Eti natumia mda mwingi kufanya mapenzi kuliko kufanya vitu vya msingi.. akasema ngoja atafute mtu mwenyewe Yuko na future nae..namm nikasema Amina mama unaweza enda
Wewe ni mkenya??
 
Hii ni kauli ya kistaarabu ya kuacha mtu bila kumuumiza.
Hakuna ustaarabu wowote, anaachaje mtu kisa tu hisia zake zimeleta shoti kwenye likichwa lake kama mtungi mdogo wa oryx?

Why asiheshimu mtu from the start?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom