cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,132
Land alienation1. Lack of Capital
2. Forced labor
3. Poor communication
4. Poor infrastructure
5. Unrealiable
6. Lack of transport
7. High Taxes imposition
Land alienation1. Lack of Capital
2. Forced labor
3. Poor communication
4. Poor infrastructure
5. Unrealiable
6. Lack of transport
7. High Taxes imposition
HelaGood morning watu wa Mungu.
Basi wakati tukiendelea kuisubiri ndege yetu mpya ya mizigo kutua.nimeona niwaulize haka kaswali.
Juzi kati hapa nimekutana na ex girl wangu,sasa katika story za hapa na pale tukajikuta tunaanza kuulizana viswali vya kichokozi, nilimuuliza tatizo langu kubwa lilikua nini katika yale mahusiano yetu? akanijibu eti aliona kuna jam kubwa sana ya wanawake wanaonitaka hivyo akaona isiwe kesi ngoja awaachie na wengine wafaidi.
So ebu kila mmoja wetu aweke wazi hapa tatizo lake kubwa ambalo ex wake anasema alikua nalo.





Nilisahau kidogoLand alienation
Shangaziiii ankolii ana helaa? Tuanzie hapo kwanAunt Anko wako nilimpenda mno akanicheat alaf siku nilogundua nilopoteza hisia nae kabisa Yani hata aniguse wapi sikuwah kuhis chochote Tena pamoja na kumpenda kote had Leo Wala simshtuki akwende huko





😂😂😂Falasana wewShangaziiii ankolii ana helaa? Tuanzie hapo kwan![]()
Hivi mtu yupo online siku nzima na cm apokei ila mesej ana jibu alf weekend ina ashiria nini?![]()
Unataka uambiwe kwa namna gani kwamba ataki mazoea?
Too good for him, he said I deserve better man than him, cause he had no way to change be a better man....![]()
Tutulie tu Home boiTusio na ma ex tunasoma comments za wahanga![]()
The Narcissist Prayer
That didn’t happen
And if it did..it wasn’t that bad
And if it was.. that’s not a big deal
And if it is, that’s not my fault
And if it was.. I didn’t mean to
And if I did..He deserved it![]()
Kweli mkuuTutulie tu Home boi