According to your Ex, what was your main problem?

According to your Ex, what was your main problem?

Eti natumia mda mwingi kufanya mapenzi kuliko kufanya vitu vya msingi.. akasema ngoja atafute mtu mwenyewe Yuko na future nae..namm nikasema Amina mama unaweza enda
 
Good morning watu wa Mungu.

Basi wakati tukiendelea kuisubiri ndege yetu mpya ya mizigo kutua.nimeona niwaulize haka kaswali.

Juzi kati hapa nimekutana na ex girl wangu,sasa katika story za hapa na pale tukajikuta tunaanza kuulizana viswali vya kichokozi, nilimuuliza tatizo langu kubwa lilikua nini katika yale mahusiano yetu? akanijibu eti aliona kuna jam kubwa sana ya wanawake wanaonitaka hivyo akaona isiwe kesi ngoja awaachie na wengine wafaidi.

So ebu kila mmoja wetu aweke wazi hapa tatizo lake kubwa ambalo ex wake anasema alikua nalo.
Hela
 
Kakudanganya kama alikuwa anakupenda kweli angeenda hata kukuloga uwe ndondocha,unawajua madem au unawaskia.
 
Aunt Anko wako nilimpenda mno akanicheat alaf siku nilogundua nilopoteza hisia nae kabisa Yani hata aniguse wapi sikuwah kuhis chochote Tena pamoja na kumpenda kote had Leo Wala simshtuki akwende huko
Shangaziiii ankolii ana helaa? Tuanzie hapo kwan
 
The Narcissist Prayer
That didn’t happen

And if it did..it wasn’t that bad
And if it was.. that’s not a big deal

And if it is, that’s not my fault
And if it was.. I didn’t mean to

And if I did..He deserved it

Aisee kama ulikutana na mtu wa design hii nakupa pole sana, mara nyingi huw wanahakikisha wame kudamage kila nyanja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom