Access Bank TZ, nikimeo kipya bongo

Access Bank TZ, nikimeo kipya bongo

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,262
Reaction score
18,702
Access bank wamewachukua wateja wa Standard charted Bank toka 23 June 2025 , lakini hadi muda huu, huwezi kutoa fedha kwa njia yoyote, na call centre yao hawapokei.


BoT wanahitajika hapa ili wananchi waendelee kupata huduma kama kawaida.


Cha ajabu zaidi hawatoi support yoyote wala taarifa.
 
Access bank wamewachukua wateja wa Standard charted Bank toka 23 June 2025 , lakini hadi muda huu, huwezi kutoa fedha kwa njia yoyote, na call centre yao hawapokei.


BoT wanahitajika hapa ili wananchi waendelee kupata huduma kama kawaida.


Cha ajabu zaidi hawatoi support yoyote wala taarifa.
mabenk haya ya binafsi ni shida sana. Wote ni wafu kama TCP (postal bank zamani), ila labda hiyo imezidi. Vingelikuwa vinawezekana unaweka hela zako nyumbani, but this is impossible
 
Access bank wamewachukua wateja wa Standard charted Bank toka 23 June 2025 , lakini hadi muda huu, huwezi kutoa fedha kwa njia yoyote, na call centre yao hawapokei.

Hawa pia si wamechukua iliyokuwa BancABC...

Huwezi hata kulog in kwenye app yao ya Access app...
 
Access bank wamewachukua wateja wa Standard charted Bank toka 23 June 2025 , lakini hadi muda huu, huwezi kutoa fedha kwa njia yoyote, na call centre yao hawapokei.


BoT wanahitajika hapa ili wananchi waendelee kupata huduma kama kawaida.


Cha ajabu zaidi hawatoi support yoyote wala taarifa.
Customer care bongo bado ni kipengele
 
Sasa hivi ndio wanajiita selcom

BancABC imechukuliwa na Access...

Screenshot_20250625_224140_Messages.jpg
 
mkuu mbona kama una wenge sana kwa mujibu ya maelezo yako ww ulikuwa mteja wa Standard chartered bank ambayo wateja wake akaunti zenu mumehamishiwa Acesa bank tarehe 23 ni juzi hiyo..ila ww ndani ya siku moja unataka uwe hewani kwenye bank mpya..huwezi jua mkuu labda bado wanabadilishana mifumo au kuhamisha data zenu za kibenk zilizo kwenye account zenu zikasome kwenye benki mpya uliyohamishwa hata siku ukitaka statement ya miezi 6 nyuma wanakupa..relax kwa mda kidogo wamalize michakato yao ya ndani ya kibenki na kuweka mifumo sawa..mwezetu siko moja tu umepagawa kupiga mayowe kumbe benki bado zinabadilishana taarifa
 
Access ni wa nigeria . Wananunua sana bank zinazouzwa.

Pia waingereza wanakimbia sana soko la africa. Kwa kuuza bank zao kwenda kwa wa africa wenyewe.

Walianza Barclays wameiuza kwa Absa ambao ni wa South Africa.

Sasa nayo Standard Chartered wameiuza kwa Access ambao ni wa Nigeria
 
Benki ya TCB waliinunua Twiga bancorp,na benki ya wanawake,kwa hiyo ni benki kubwa Sana na ina fedha ndefu,sema labda upande wa mifumo ya kidigitali Ila wanaukwasi mzuri tuu
 
Back
Top Bottom