Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,262
- 18,702
Access bank wamewachukua wateja wa Standard charted Bank toka 23 June 2025 , lakini hadi muda huu, huwezi kutoa fedha kwa njia yoyote, na call centre yao hawapokei.
BoT wanahitajika hapa ili wananchi waendelee kupata huduma kama kawaida.
Cha ajabu zaidi hawatoi support yoyote wala taarifa.
BoT wanahitajika hapa ili wananchi waendelee kupata huduma kama kawaida.
Cha ajabu zaidi hawatoi support yoyote wala taarifa.