Access Bank TZ, nikimeo kipya bongo

Access Bank TZ, nikimeo kipya bongo

Access ni wa nigeria . Wananunua sana bank zinazouzwa.

Pia waingereza wanakimbia sana soko la africa. Kwa kuuza bank zao kwenda kwa wa africa wenyewe.

Walianza Barclays wameiuza kwa Absa ambao ni wa South Africa.

Sasa nayo Standard Chartered wameiuza kwa Access ambao ni wa Nigeria
Standard Chartered Bank bado ipo isipokuwa wameuza portfolio ya wateja wadogo wadogo binafsi.
 
mkuu mbona kama una wenge sana kwa mujibu ya maelezo yako ww ulikuwa mteja wa Standard chartered bank ambayo wateja wake akaunti zenu mumehamishiwa Acesa bank tarehe 23 ni juzi hiyo..ila ww ndani ya siku moja unataka uwe hewani kwenye bank mpya..huwezi jua mkuu labda bado wanabadilishana mifumo au kuhamisha data zenu za kibenk zilizo kwenye account zenu zikasome kwenye benki mpya uliyohamishwa hata siku ukitaka statement ya miezi 6 nyuma wanakupa..relax kwa mda kidogo wamalize michakato yao ya ndani ya kibenki na kuweka mifumo sawa..mwezetu siko moja tu umepagawa kupiga mayowe kumbe benki bado zinabadilishana taarifa
Acha uduwanzi, kama hakujiandaa kwanini msisubiri..
 
Banki yenu hii ni
mkuu mbona kama una wenge sana kwa mujibu ya maelezo yako ww ulikuwa mteja wa Standard chartered bank ambayo wateja wake akaunti zenu mumehamishiwa Acesa bank tarehe 23 ni juzi hiyo..ila ww ndani ya siku moja unataka uwe hewani kwenye bank mpya..huwezi jua mkuu labda bado wanabadilishana mifumo au kuhamisha data zenu za kibenk zilizo kwenye account zenu zikasome kwenye benki mpya uliyohamishwa hata siku ukitaka statement ya miezi 6 nyuma wanakupa..relax kwa mda kidogo wamalize michakato yao ya ndani ya kibenki na kuweka mifumo sawa..mwezetu siko moja tu umepagawa kupiga mayowe kumbe benki bado zinabadilishana taarifa
Ya hovyo sana.
mkuu mbona kama una wenge sana kwa mujibu ya maelezo yako ww ulikuwa mteja wa Standard chartered bank ambayo wateja wake akaunti zenu mumehamishiwa Acesa bank tarehe 23 ni juzi hiyo..ila ww ndani ya siku moja unataka uwe hewani kwenye bank mpya..huwezi jua mkuu labda bado wanabadilishana mifumo au kuhamisha data zenu za kibenk zilizo kwenye account zenu zikasome kwenye benki mpya uliyohamishwa hata siku ukitaka statement ya miezi 6 nyuma wanakupa..relax kwa mda kidogo wamalize michakato yao ya ndani ya kibenki na kuweka mifumo sawa..mwezetu siko moja tu umepagawa kupiga mayowe kumbe benki bado zinabadilishana taarifa
Bank yenu ni ya hovyo sana. Hampo organized kabisa. Tumesha wahi nunua bank nyingi tuu , lakini wateja hawaja wahi kupata usumbufu kama wa accesa bank tanzania. Leo tarehe 26 bado watej hawawezi kupata huduma.

Zaidi hakuna taarifa yeyote mmetum kwa wateja kuwaomba radhi wasubiri, mmekaa na mmeridhika.

Kisha kuna panya inakuja hapa eti, wateja tuna wenge kwa sababu tuu , unaogopa kibarua chako cha laki 2 kwa mwezi kisije kikakuponyoka, stupid.

Wateja ndio tunakuweka mjini bro.
 
Acha uduwanzi, kama hakujiandaa kwanini msisubiri..
kisubiriwe nini sasa ikiwa benki ya kigeni inafunga shughuli zake nchini inataka kuondoka..na benki ina amana zenu inafanya utaratibu mwema wa kuhamisha amana zenu benki nyingine mnaona mnacheleweshwa na vipi kama wangeondoka zao juju kwa juu ungemlilia nani..mtu mwenyewe ww eti unajiita tabutupu unaonesha ni jinsi gani ulivyo na dhiki na njaa na uliyejaa shida na ukute hata huko benki akaunt uliyonayo ina elfu 90 tu si uchoko huo na hiyo mikelele yako tuliza kipago ww.
 
Back
Top Bottom