Abate Christian Temu OSB: Wakati nakuja, nimeona umati mkubwa wa watu waliovaa vizuri, sijaona aliyevaa dera wala kijora

Abate Christian Temu OSB: Wakati nakuja, nimeona umati mkubwa wa watu waliovaa vizuri, sijaona aliyevaa dera wala kijora

The Magnifico

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
427
Reaction score
1,579
"Nimeona umati mkubwa wa watu waliovaa vizuri, watu ambao wana malengo, watu ambao wanajielewa".

"Nikaangalia angalia kama kuna aliyevaa dera au kijora lakini sijaona". Abate Christian Temu OSB | Abate wa Abasia ya Ndanda.
 
Back
Top Bottom