A Town, R Chuga

A Town, R Chuga

mkuu karibu sana arusha ila arusha bado sana kuilinganisha dar..
 
Njoon mpate mbuz wa foil hapa The Big L Pub.

mkuu nilifika hapo mara 2 kula mbuzi. Wahudumu wako fasta sana na mbuzi ni watam sana. Jirani si pana ile saluni kali sana? Ile salun/barber shop sijaiona hapa dar
 
nipo maeneo ya kiranyi wadau wa atown. Karibu na tank la maji.

HAPO UKO KARIBU KABISA NA MAT.K. BAR au ARUSHA NIGHT PARK....UTAKULA KUKU WA KIENYEJI SAFI(MNAFU NA KUCHOMA),UGALI WA MUHOGO,SENENE KM UNAPENDA,MATOKE,NK.usiache kufika.
 
i wish sweetie ningeipata hii msg mapema maana nilifika hapo mianzini tawi la PRIDE nikawa nafuatilia ishu fulani
Ooh, basi haikuwa bahati yetu kuonana! Hapo PRIDE ni karbu kabsa na nilipo, ucjal wakat mwingine ukiwa R'chuga tutatafutana!
 
mkuu nilifika hapo mara 2 kula mbuzi. Wahudumu wako fasta sana na mbuzi ni watam sana. Jirani si pana ile saluni kali sana? Ile salun/barber shop sijaiona hapa dar
Mkuu, pale salon unapata huduma zote!....massage parlour ya ukweli ndani, na warembo wa kifo cha mtu!...halafu ninachowashangaa wale wadada ni wepesi sana kutoa contact zao kabla ya kuombwa, na kumwomba mtteja akienda tena hapo amtafute yeye tu(aliyemhudumia last tym)!...
 
mkuu, pale salon unapata huduma zote!....massage parlour ya ukweli ndani, na warembo wa kifo cha mtu!...halafu ninachowashangaa wale wadada ni wepesi sana kutoa contact zao kabla ya kuombwa, na kumwomba mtteja akienda tena hapo amtafute yeye tu(aliyemhudumia last tym)!...
dawa yao unaenda na mamaa....
 
Mkuu, pale salon unapata huduma zote!....massage parlour ya ukweli ndani, na warembo wa kifo cha mtu!...halafu ninachowashangaa wale wadada ni wepesi sana kutoa contact zao kabla ya kuombwa, na kumwomba mtteja akienda tena hapo amtafute yeye tu(aliyemhudumia last tym)!...
yani nilitamani japo kupata muda wa kuingia ndani kunyoa ila ratiba ilikuwa tait sana. niliishia kuiona kwa nje. Kiujumla arusha pako bomba. Mkuu mnafaidi ila sema vitu ghali kweli huko
 
yani nilitamani japo kupata muda wa kuingia ndani kunyoa ila ratiba ilikuwa tait sana. niliishia kuiona kwa nje. Kiujumla arusha pako bomba. Mkuu mnafaidi ila sema vitu ghali kweli huko
Sure mkuu!
Bei za vitu hasa madukani ziko kali sana...Viatu, nguo na articles za nyumbani havigusiki..., lakini ndo hivo tunakomaa!..Tukipata nafasi ya kuja Dar ndo tunarudi na mizigo ka wakimbizi! ha ha haaa!
Lakini usiogope kiongozi karibu!
 
Sure mkuu!
Bei za vitu hasa madukani ziko kali sana...Viatu, nguo na articles za nyumbani havigusiki..., lakini ndo hivo tunakomaa!..Tukipata nafasi ya kuja Dar ndo tunarudi na mizigo ka wakimbizi! ha ha haaa!
Lakini usiogope kiongozi karibu!

usinichekeshe mkuu. niliulizia viatu a town. Vya mtumba vinaanzia elf 60. Vya dukani elf 85+ . Nilifika Moshi pale Maimoria nikabeba viatu hadi vikakaribia kunishinda. Mkuu ukitaka mahitaji shuka pale. Mavazi (hasa viatu) ni bomba sana
 
Sure mkuu!
Bei za vitu hasa madukani ziko kali sana...Viatu, nguo na articles za nyumbani havigusiki..., lakini ndo hivo tunakomaa!..Tukipata nafasi ya kuja Dar ndo tunarudi na mizigo ka wakimbizi! ha ha haaa!
Lakini usiogope kiongozi karibu!

halafu wewe, w/end hii mbuzi kwa mrombooo, halafu useme hauji
 
halafu wewe, w/end hii mbuzi kwa mrombooo, halafu useme hauji
Yaani ungejua wala usingeenda Kericho...
Jana mambo yote ilikuwa ni AFRICANDO, si unajua squad letu?...Tuliharibu hapo mahala kwa WAMERUU balaa mbaya!...
Kwanza bora hukuwepo na ushambaushamba wako wa kutembea na bajaji usiku!
 
mh! Pretta. Hiyo tone uliyotumia... Af kama nakuona vile
Ha ha haaa!
Kiongozi wetu nikupe makontakti nini!!:smile-big:
Hivi tunaongea yupo uBUNGO kIBANGU mitaa ya KAJIMA!...Unashuka RiverSide unakwea bodaboda, hadi pale juu..huyu hapa!
 
Ha ha haaa!
Kiongozi wetu nikupe makontakti nini!!:smile-big:
Hivi tunaongea yupo uBUNGO kIBANGU mitaa ya KAJIMA!...Unashuka RiverSide unakwea bodaboda, hadi pale juu..huyu hapa!

mh! Mbona river kituo changu? Halafu kibangu makazi yangu? Kumbe yupo hapa jirani kabisa? Mwambie RF yuko kama mita mia 2 hivi karibu nae
 
Yaani ungejua wala usingeenda Kericho...
Jana mambo yote ilikuwa ni AFRICANDO, si unajua squad letu?...Tuliharibu hapo mahala kwa WAMERUU balaa mbaya!...
Kwanza bora hukuwepo na ushambaushamba wako wa kutembea na bajaji usiku!

kwanza nawadai wewe na Sahara, mnilipe
 
Mkuu, pale salon unapata huduma zote!....massage parlour ya ukweli ndani, na warembo wa kifo cha mtu!...halafu ninachowashangaa wale wadada ni wepesi sana kutoa contact zao kabla ya kuombwa, na kumwomba mtteja akienda tena hapo amtafute yeye tu(aliyemhudumia last tym)!...

p jimy ukifika hapa The Big L nipm utaniona niko kwa ofice!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom