Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Ni wk sasa niko Arusha kikazi zaidi. Sikujua jiji hili ni kubwa hivi. Mji mzuri na umejengeka kweli. Dar iko hati hati ya kupigwa chini na jiji la machalii. Club bomba, kuanzia triple A, masai club, babylon, club AQ n.k. Jana nilikuwa aq club. Hali ya hewa bomba. Arusha ni bomba sema tu vitu bei juu sana. Natamani kuwatafuta pj na preta ila muda ni unabana. Karibuni a town