nikiwe
JF-Expert Member
- Feb 4, 2013
- 775
- 345
Niliwah kuandika kuhusu kumpata mwenye sifa nilizohitaji kwenye sred ya awali ila wengi hawakuiona may be na hivyo kuendelea kuniPM.tulishakutana na so far mambo yako shwari, next month tutaelekea joburg naenda kikazi na yeye atanipa company.shukrani kwa wote mlio niPM its sad nafasi ilikuwa moja tu.