A Million Dollar Question...

A Million Dollar Question...

chadema hapa kiiiimya.......unapokuwa mshabiki changanya sana na akili zako sasa ni hivi

1. Dr. Slaa atafika kizimbani
2. ben saanane atafika kizimbani
3. Mbowe lazima afike mahakamani
4. mchungaji msigwa.....atafika tu
5. Lema na company yake arusha na nyie hesabu siku

wengine wahusika ni wa kawaida tu, ambao matumbo yao yamelazimika wao wafanye

jaman ccm ni wapuuzi, ila chadema na wanachama wake ni wapuuzi zaidi.......

politics sio clean duties
 
chadema hapa kiiiimya.......unapokuwa mshabiki changanya sana na akili zako sasa ni hivi

1. Dr. Slaa atafika kizimbani
2. ben saanane atafika kizimbani
3. Mbowe lazima afike mahakamani
4. mchungaji msigwa.....atafika tu
5. Lema na company yake arusha na nyie hesabu siku

wengine wahusika ni wa kawaida tu, ambao matumbo yao yamelazimika wao wafanye

jaman ccm ni wapuuzi, ila chadema na wanachama wake ni wapuuzi zaidi.......

politics sio clean duties

Kuna ubaya gani si ni kwa mujibu wa sheria wote hao kasoro Ben kila mtu anakesi zaidi ya kumi mahakamani kwa hiyo sio shida jomba
 
CDM kimsingi huwa nikisema bado hawajafikia umri wa kushika dola watu hunijia juu lkn kwa haya yanayotokea huko bavicha na kwa huyu lwakatare ina reveal abisa kwamba hawa watu wanataka dola kwa nguvu ya ugomvi na kuuana badala ya kujenga hoja

infact sera ya ccm aliyoingia nayo kikwete ilitosha sana kuaminisha watu kuliko cdm ambao walikalia ugomvi na kusutana tu, matokeo yake ndio haya kutaka kuuana, na kujeruhi wasio na hatia.

i love CCM
 
Sijaona facts zaidi ya kukopi maneno kwenye thread tofauti tofauti!

Hakuna uhusiano wowote kati ya ben saanane na tuhuma za lwakatare zinazo mkabili. Naona unajaribu kuunganisha matukio tofauti kabbisa. Hapa ni kuhusu msacky!

Sasa hayo ya zitto wambie walio toa tuhuma wakafile case.

Naona umeamua kujichanganyia mambo ambayo hayahusiani kabisa.

labda ukawambie polisi waje wasome hizo thread tajwa hapo juu alaf waseme ni ushahidi ili wa kamfungulie Ben case ili tuone.
 
Sijaona facts zaidi ya kukopi maneno kwenye thread tofauti tofauti!

Hakuna uhusiano wowote kati ya ben saanane na tuhuma za lwakatare zinazo mkabili. Naona unajaribu kuunganisha matukio tofauti kabbisa. Hapa ni kuhusu msacky!

Sasa hayo ya zitto wambie walio toa tuhuma wakafile case.

Naona umeamua kujichanganyia mambo ambayo hayahusiani kabisa.

labda ukawambie polisi waje wasome hizo thread tajwa hapo juu alaf waseme ni ushahidi ili wa kamfungulie Ben case ili tuone.


Haya maneno uliyoandika yanathibitisha kuwa hujui uhusiano uliopo kati ya Zitto na Msacky na inawezekana hujasikiliza tamko alilotoa Dr. Slaa juu ya kukamatwa kwa Lwakatare.

Jiandae kisaikolojia kulisikia jina la Ben Saanane mahakamani...
 
Ze macropolo,
Hii thread imekaa vizuri sana
Nadhani wahusika wanakuna vichwa huko waliko.
Niliisha muambia Ben kuwa anaonekana anajua mengi sana, mie kama ex cop nashauri kijana ahojiwe kama shahidi muhimu kwenye hii sakata
 
A Million Dollar Question ni iwapo kijana Ben Saanane aliyewahi kutajwa kutumiwa na chadema kutegeshea watu sumu atatajwa tena kwenye kesi hii. This is very original, hakuna kuunga unga hapo...

uliweka dibaji ndeeeeefu na perepete nyiiingi

Mkuu tunafahamu mipango yenu na mnachotaka kufanya hasa kwa yoyote aliye mwiba kwenu

sasa sijui swali hilo linakuaje na value hata ya single cent wakati majibu yapo wazi na kila mtu anafahamu

Je unajua kwamba Ilunga, na wote wanaoua raia wema wapo mtaani??:nono:

Je unajua kwamba Misafara ya JK imeshaua watu wangapi mpaka sasa?? na unadhani kuna hatua hata nusu kwa waneoendesha yale magari imechukuliwa??:nono:

Your plans seem to work (kwa perception yenu) ila kutokana na ukuaji wa mawasiliano na innoveations nyingine za kusambaza habari, whatever you are doing now is counterproductive na inatengeneza akina Ben Saanane wengi mno

You should from American Forecign policy, the moe you oppress, the more heroes you create

WATANZANIA SI MABWEGE TENA
 
Ze macropolo,
Hii thread imekaa vizuri sana
Nadhani wahusika wanakuna vichwa huko waliko.
Niliisha muambia Ben kuwa anaonekana anajua mengi sana, mie kama ex cop nashauri kijana ahojiwe kama shahidi muhimu kwenye hii sakata
KWI KWI KWI

EX-COP

TUNAJUA KWAMBA COPS WETU WENGI NI VILAZA NA WALIENDA HUKO BAADA YA KUKOSA OTHER ALTERNATIVES

now i know why
 
Hii issue imeichafua sana chadema na itaendelea kufanya hivyo kwa kuwa mengi yataibuka

Labda wewe ndo umechafuliwa, chadema ni mwendo mdundo na leo tumezindua kanda nyingine huko mashariki mwa lake victoria. Mtabakia hivyohivyo na vijipropaganda visivyokuwa na kichwa wala miguu WASENGEnyaji wakubwa nyie
 
KWI KWI KWI

EX-COP

TUNAJUA KWAMBA COPS WETU WENGI NI VILAZA NA WALIENDA HUKO BAADA YA KUKOSA OTHER ALTERNATIVES

now i know why
We mchekea tumboni katika maisha watu hupitia mengi kabla hawajafika walipo.
Mie nimekamilika kwani nimeptia mafunzo magumu ya kijeshi/polisi nikiwa 18yrs na nimeacha jeshi nikiwa 23 nilipoamua kuingia kwenye ujasiliamali.
Ukumbuke nimesoma kuliko DJ kwa hiyo unaponiita mimi kilaza unakuwa unamdhalilisha mwenyekiti wako

Niko very proud kuwa ex cop, kwanza wahalifu inabidi wafurahi niliacha jeshi kwani nadhani magereza kungekuwa hakutoshi.
 
We mchekea tumboni katika maisha watu hupitia mengi kabla hawajafika walipo.
Mie nimekamilika kwani nimeptia mafunzo magumu ya kijeshi/polisi nikiwa 18yrs na nimeacha jeshi nikiwa 23 nilipoamua kuingia kwenye ujasiliamali.
Ukumbuke nimesoma kuliko DJ kwa hiyo unaponiita mimi kilaza unakuwa unamdhalilisha mwenyekiti wako

Niko very proud kuwa ex cop, kwanza wahalifu inabidi wafurahi niliacha jeshi kwani nadhani magereza kungekuwa hakutoshi.

bwahahaaaaa hahaha ahahaaaa

CCM inahangaika sana kuua sisimizi kwa gobore

and that has been my problem

if you see jinsi cdm, chama kichanga kinavyoihangaisha ccm (chama kilichokua madarakani tangu kizaliwe) then you have to know one thing; ccm is weak

mpinzani wa ccm alitakiwa awe ccm yenyewe na sio cmd

what we see is like daudi na goliati
 
CHEADEMA is a big joke
Makanda wa Chadema ni sawa na mwanafunzi aliechukua ada ya shule badala ya kwenda kulipa shule akaamua kuichezea kapesa kekundu(karata tatu) akitegemea kupata utajiri mkubwa .
Nikikumbuka siku ile Lema alipokuwa ananipa kanuni za chama huwa nacheka peke yangu.
 
Haya maneno uliyoandika yanathibitisha kuwa hujui uhusiano uliopo kati ya Zitto na Msacky na inawezekana hujasikiliza tamko alilotoa Dr. Slaa juu ya kukamatwa kwa Lwakatare.

Jiandae kisaikolojia kulisikia jina la Ben Saanane mahakamani...
Ben Saa nane knows more than we can imagine.
The boy can be a key witness in this case.
 
Chadema wanaweza kuwa na mapungufu yao lakini kwangu mimi ni mashujaaa tena sana. Hivi kweli mtu unasema unaipenda CCM kwa lipi? unafiki pembeni jamani kweli bila upinzani ukiongozwa na Chadema hivi hii nchi ingekuwa wapi....muogopeni Mungu jamani hata kama mnaneemeka na hiyo CCM kumbukeni watanzania wenzenu walio wengi maisha yao ya kila siku yakoje.
 
Hii kesi ni tricky sana kwa CHADEMA kama chama.

Kama ofisi ya upelelezi itakuwa imekusanya ushahidi mbadala na ofisi ya mwendesha mashitaka ikawa imejipanga vizuri (wanasheria), yatakayojiri mahakani yatakifanya CHADEMA kuwa na wakati mgumu sana kwenye REHABILITATION PROCESS baada ya kesi kumalizika regardless the outcome of this case.

Kuna watu wanaangalia hii case kiitikadi zaidi na wanasahau kama hii kesi inagonga at the heart of CHADEMA machinery. Kuna uwezekano mkubwa hii kesi ikaibua mifarakano zaidi ndani ya CHADEMA kuliko ilivyo kwa sasa.

Mahakamani hakuna siasa na ubabaishaji. Kila kitu kinakuwa testified under oath. Ushahidi utakatolewa utatuonyesha kwa kiwango gani kuna mshikamano au mifarakano ndani ya CHADEMA.

This is a million dollar question.....
 
Bora nawe umeustukia duh! Magamba kazini katika jitihada za kuichafua CDM!!! Waliomuua Mwangosi na wale waliotaka kumuua Ulimboka bado wako mtaani wanapeta sasa wametumia polisi magamba ili kumbambikia kesi Lwakatare wapate mwanya wa kuichafua CHADEMA!!!! Serikali dhalimu kazini!!! kuendeleza udhalimu wake.

Yaani uzi umeandishwa na magamba kisha unaendeshwa na magamba mambo yanakwenda kabisa!!!

Mwisho wa ubaya ni aibu.
 
Back
Top Bottom