A Million Dollar Question...

A Million Dollar Question...

Ya nini uanzishe uzi alafu wewe mwenyewe ujaze kupost kwa nini usiache watu wachangie tu. Hiyo simu labda ndo mliyotumia kuua Kolimba au mnafikiri watu wamesahau?
 
Sasa hivi ni maswala ya kisheria zaidi siyo maneno matupu Bavicha wamenasa kwenye Trap hawawezi kutoka.

A Million Dollar Question...

Nakumbuka maneno ya mwanasiasa kijana aliyeripotiwa kuwa target ya sumu ndani ya chadema "Nimeaga kwetu, nikifa kwa sababu ya kutegeshewa sumu, mtu huyo nyumbani kwao hatabaki hata panya mmoja".

Watu wengi walimshambulia mwanasiasa huyo kijana kwa ku-over react. Sasa naelewa kwanini alilichukulia swala hilo serious...
 
Yaani uzi umeandishwa na magamba kisha unaendeshwa na magamba mambo yanakwenda kabisa!!!

Mwisho wa ubaya ni aibu.
 
Halafu kitendo cha Dr. Slaa kumtetea Lwakatare na kumkana Ludovick kuwa hamfahamu ni very risky. Iwapo Ludovick atapata vithibitisho vya kufahamiana na Dr. Slaa basi Dr. ataaibika mno.

Hii ishu ya sumu itazua mengi sana...

Nasikia kuna mpango wa kutengeneza DVD na kuanza kuzisambaza bure ili wananchi washuhude wanaopanga mikakati ya mauaji na uteswaji wa raia. Kava la DVD hii linapicha ya babu na dj huku steringi mwenyewe Kamanda Lwakatare akiwa kapozi mbele.
 
Ya nini uanzishe uzi alafu wewe mwenyewe ujaze kupost kwa nini usiache watu wachangie tu. Hiyo simu labda ndo mliyotumia kuua Kolimba au mnafikiri watu wamesahau?

Ukianzisha post watu wakaulize maswali, ni uungwana kuwajibu, kama jinsi wewe unavyojibiwa hapa...
 
Wavivu wa kujiuliza maswali siku zote huwaachia wengine wafikirie kwa niaba yao.
Wewe ni mmoja wao. Unamsubiri Dr. Slaa akutengenezee majibu...
Wakurupukaji, wachumia tumbo Kama wewe, hupofushwa na Njaa zao na kujikuta wana fanya mambo na kushabikia vitu amabavyo Kimsingi ni Mtu mwenye akili za Mwenda wazimu ndo anaweza kufanya.
Hawa watu hata ukiwaambia watembee uchi watatembea so long as Mkono unaenda Kinywani
 
Yaani uzi umeandishwa na magamba kisha unaendeshwa na magamba mambo yanakwenda kabisa!!!

Mwisho wa ubaya ni aibu.

Magwanda wamejificha kwa aibu. Wamepigwa na butwaa. Walikuwa hawajui kuwa kuna sumu kali imekutwa kwenye ofisi za chama cha siasa.
 
kaka unapoteza tu muda wako,hii issue kwa sasa iko clear kabisa,na wananchi wana hasira sana huku mitaani,you can not cover up,ache sheria ichukue mkondo wake,ushauri kwa chadema,ingetoka huko mafichoni sasa na kuja hadharani kuwaomba radhi wale wote ambao ni wahanga wa oparesheni za lwakatare na chadema wakianzia na familia ya marehemu rasta chacha wangwe..

Narudia kusema ni nitazidi kusema.
Mtu mwenye Taahira ya akili tu ndo anaweza kupoteza muda kufikiria issue Nyepesi Kama hii.
Wananchi Mazumbukuku wa Mtaani kwenu ndo wana hizo Hasira, sie tuna hasira na CCM na Serikali yake kwa kuweka Rehani Amani yetu kwa Propaganda Dhaifu kama hii.
 
Ukianzisha post watu wakaulize maswali, ni uungwana kuwajibu, kama jinsi wewe unavyojibiwa hapa...

Ni Ujinga. Unanawaarifu wenzako kuwa unaanzisha thread hivyo changamkieni kuchangia. Na wengine mna ID TATU TATU mnajijibu wenyewe...
 
Sasa hivi ni maswala ya kisheria zaidi siyo maneno matupu Bavicha wamenasa kwenye Trap hawawezi kutoka.

A Million Dollar Question...

na humu hawatoki kudadadeki upange mauaji na ubaki kutetewa na katibu mkuu wa cdm
 
Magwanda wamejificha kwa aibu. Wamepigwa na butwaa. Walikuwa hawajui kuwa kuna sumu kali imekutwa kwenye ofisi za chama cha siasa.

Haa haa Ndio alivyokutuma hivyo huyo kilaza wako Kikwete sio. Baada ya mwanae kutuma watu wamshambulie Kibanda kwa sababu amewaumbua na habari ya kile chuo cha kijahidina halafu mnataka kufukia mambo kwa kubuni kesi nyingine!!
 
One million dollar rubbish which carries one million maladjusted logic are here to prove their one million stupidity.

Wewe ni miongoni mwa waliolaghaiwa. Ila wewe hujashiriki katika kutegea viongozi sumu, ila subiri rafiki zako watakapoanza kutajwa mmoja mmoja. Hawawezi kukushirikisha kwa sababu hawakuamini...
 
Cha Kushangaza zaidi Riziwani anakana siyo alimkebehi Kibanda ila ni akaunti yake ''ilitekwa''. Akili ndogo kama za babake!!!!

Ya Ridhiwan tumwachie Ridhiwan. Huu uzi unahusu mikasa ya matumizi ya sumu za kudhuru binadamu ndani ya chadema. Tuhuma ambazo tulizisikia mara ya kwanza toka kwa mpambanaji Mtela Mwampamba akimshutumu kijana Ben Saanane. Leo tuhuma hizo zimesikika rasmi ndani ya vyombo vya dola...
 
Last edited by a moderator:
Ya nini uanzishe uzi alafu wewe mwenyewe ujaze kupost kwa nini usiache watu wachangie tu. Hiyo simu labda ndo mliyotumia kuua Kolimba au mnafikiri watu wamesahau?

Ni mjadala mkuu kwanini unafanya jitihada za kumziba mdomo,acha ashiriki majadiliano na kama una swali unamuuliza maana yuko live hapa
 
Back
Top Bottom