A living reincarnation, rebirth..!

A living reincarnation, rebirth..!

Both because they are all living entities in the spiritual realm
but there must be one thing among those is just a fiction or never happen and the other one is real and truly happening...right??

Mana kwa maelezo yako moja ni according to wanaoamini Mungu(rebirth) na ingine ni mlengo wa upande wa pili (reincarnation)...

kama sijakosea
 
but there must be one thing among those is just a fiction or never happen and the other one is real and truly happening...right??

Mana kwa maelezo yako moja ni according to wanaoamini Mungu(rebirth) na ingine ni mlengo wa upande wa pili (reincarnation)...

kama sijakosea
Yes it's correct.... You are right but I am a muti believer... Whatever the case both two phenomenas have spiritual states
 
Inaweza kuwa kweli kuna kipindi nikiwa secondary mwalimu aliuliza swali akampoint mtu wa kwanza akashidwa kujibu, akampoint wa pili ghafla nikakumbuka ni kama kitu kimewahi kutokea nikamwambia rafiki yangu pembeni akitoka huyo atamuuliza mdada flani then ataishia kwangu na kweli ilitokea hivyo, Jamaa alishangaa sana nimejuaje.
Hiyo hali mpaka leo ninayo ya kuhisi kitu flani kilishatokea kitatokea hapa na kikatokea kweli.
mkuu hii kitu ilinitokeaga mm nikiwa certificate chuo kimoja hivi lilikuwa somo la ujasiriamali, ticha aliuliza swali watu wakawa hawajibu kuna demu akanitumia sms kuwa "hilo swali utajibu ww na utapata maana nilipata maana leo nimeota utajibu swali darasani na kupigiwa makofi" nikamwambia haiwezi tokea maana mm sinaga tabia za kujibu au kuchangia mada darasani ila dk 5 hazikuisha ticha akanifata akasema nijibu na kweli nilipigiwa makofi ile sms nilipiga screen shot nikawa natafakari ila sikupataga jibu
 
haya ma deja vu mimi sikuizi ndio yanisumbua zaidi maana naweza kunena kitu halafu nikahisi nmewahi kunena kabla katika situation hiyo hiyo mpaka unakuta kichwa kina stuck kidogo
 
haya ma deja vu mimi sikuizi ndio yanisumbua zaidi maana naweza kunena kitu halafu nikahisi nmewahi kunena kabla katika situation hiyo hiyo mpaka unakuta kichwa kina stuck kidogo
Fanya meditation utatangua siri nyingi sana
 
Nimeshindwa kupata neno zuri la kichwa cha habari kitakachoendana na maudhui hivyo nimeamua kutumia hicho cha kiingereza.... Naomba radhi kwa watakaokwazika...!!!


Kabla sijaendelea naomba nitoe tafsiri ya reincarnation lakini pia nitoe na tafsiri ya rebirth (hizi zote kwa kiswahili ni kuzaliwa tena, ama kuzaliwa mara ya pili)

REINCARNATION ni mchakato wa kuzaliwa tena katika umbo la kiumbe hai kingine kutokana na matendo yako ya nyuma baada ya kufa.... Hii wanaitumia sana waamini wasioamini katika Mungu mmoja bali miungu... Kwao hakuna neno MSAMAHA... ukitenda baya utalipwa baya... Ukitenda jema utalipwa jema... Na hii hutokea ukiwa hai ama ukizaliwa TENA....!!!

REBIRTH ni mchakato wa kuzaliwa mara ya PILI lakini katika mwili ule ule ila likiwa ni tendo la kiroho zaidi... Hii hutumiwa sana na waamini wanaoamini katika Mungu mmoja na maisha ya peponi baada ya kifo kama ukitubu na maisha ya jehanum kama usipotubu na kuungama madhambi yako... Rebirth ni tendo la kuokoka kiroho....

Yote kwa yote kuna mstari mwembamba sana kati ya tafsiri hizi mbili rebirth na reincarnation... Moja ikiwa ni kuzaliwa tena na nyingine ikiwa ni kuzaliwa mara ya pili.... Moja ikiwa ni tendo la kiroho zaidi na nyingine ikiwa ni tendo la kimwili pamoja na kiroho... Mfanano wao ni kwamba zote ni imani!

Turejee kwenye mada yetu sasa..

Kuna usemi maarufu duniani kuwa dunia wawili wawili... Kwamba kuna watu wa kaliba tofauti kabisa.. Nchi tofauti kabisa au maeneo tofauti kabisa lakini wamefanana kama mayai... Naamini umeshawahi kusikia mtu akikwambia kuwa nimemuona mtu anafanana na wewe kabisa... Hii ndio living reincarnation ninayotaka kuijadili hapa

Swala la matunzo ya watoto waliotelekezwa na wazazi wa kiume pamoja na kwamba limekuwa la kisiasa zaidi.. Lakini kiroho lina tafsiri yake pana sana... Tafsiri ya kwamba hapa duniani sura yako si yako pekee mtatofautiana vingine kama kabila umri eneo nk lakini sura ni ile ile.... Kitendo kilichofanywa na baadhi kutaka kuthibitisha madai yao ni kuweka sura za watoto na wababa wanaotuhumiwa kuwa hao ni watoto wao....

Hiki ni kichekesho kwakuwa wengi hawajui kuhusu living reincarnation or rather rebirth... Kwamba kipimo pekee kinachoweza kuthibitisha uhusiano wa mzazi wa kiume na mtoto ni kipimo cha kupima damu cha DNA....!!! hiki ndio kipimo pekee chenye majibu sahihi vingine vyote ni vya kufikirika na kuhisi zaidi kuliko uhalisia....

Lakini vile vile ni mara ngapi huwa tunahisi kuwa sehemu ambayo wala hatujawahi kufika... Saa nyingine tumeona kwenye luninga, gazeti au mitandaoni... Au unafika mahali kwa mara ya kwanza lakini unakuwa na hisia kamili kuwa hapo mahali unapafahamu..

Roho zetu ni kitu kikubwa mno na kilicho huru.. Ni roho zetu hizi hutuhama nje ya ufahamu wetu na kwenda kuzurura kwenye ulimwengu wa roho na hata kuweza kuingia kwenye majumba roho ya mili mingine ama kupita sehemu ambazo hubeba kumbukumbu zake na kurudi nazo kwenye mwili asili..

Kumbukumbu hizo zikihifadhiwa kwenye ubongo hubaki na kutengeneza picha ya uhalisia usio timilifu... Hii hali hupelekea yafuatayo;
  • Kukutana na mtu kwa mara ya kwanza lakini unahis kabisa si mara yenu ya kwanza kukutana.. Basi huishia kusema tu nimekufananisha.
  • Kufika eneo kwa mara ya kwanza lakini ukiwa na fikra kuwa si mara ya kwanza... Jua roho ilikutoroka na kwenda yenyewe.
  • Kufananishwa na mtu ambaye hamfahamiani kabisa na mko mbalimbali
  • Kuwa na fikra ya kukaribia kutokea kitu fulani ambacho kiuhalisia hakijawahi kukutokea
  • Kufanya kitu kipya kabisa huku fikra zikikukumbusha kukifanya kitu hichohicho lakini bila kumbukumbu kamili
Ulimwengu wa roho ni timilifu na huweza kufanya vitu nje ya utashi wa kawaida wa binadamu na kutuletea Kumbukumbu zisisotimia.... Na hii ndio living reincarnation au living rebirth katika uhalisia wake..

Mimi sina mtoto wa kusingiziwa.... Mkioneshwa yeyote tunafanana hata vitabia jueni tu ya kwamba hiyo ni michezo ya roho katika kuvinjari kwake!
Mkuu mshana..Mara nyingi Mimi nikijaribu kufnya meditation sehem ya paji la uso inaniuma sana na naamua kucha na inapelekea kichwa kuuma siku nzima, INA maan gani hii...napia mara nyingi huw nikihisi kitu huwa kinatokea kweli iko vipi pia na hii.
 
Mkuu mshana..Mara nyingi Mimi nikijaribu kufnya meditation sehem ya paji la uso inaniuma sana na naamua kucha na inapelekea kichwa kuuma siku nzima, INA maan gani hii...napia mara nyingi huw nikihisi kitu huwa kinatokea kweli iko vipi pia na hii.
Mmh una shida ya shinikizo la moyo? Kuhusu kuhisi kitu na kikatokea kuna mahusiano na hii mada
 
Hali ambayo mimi inanitokea ni
Kufananishwa sana na watu.
Kwenda sehemu ngeni kabisa najiona kama nilishawahi kufika lakini kiuhalisia sijawahi kufika kabisa
Na pia kuwaza kitu kwenye fikRa zangu hasa mimi binafsi kinanitokea yaani mfano nikienda kufanya jambo lolote iwe mtihani , inteview; na huwa napataa majibu kabla hata hajatoka
 
Back
Top Bottom