Unaelezea jinsi kitendo kinavyofanyika. Anayefuata anataja jina la kitendo hicho, kisha naye anaelezea kitendo kingine kwa anayefuata kukitaja jina lake na kuendelea.
Mifano:
1.Kutoa sauti iliyopangiliwa kwa ustadi.
2.Kuimba.
Kutia chakula mdomoni kukitafuna na kukimeza.
3.Kula.
Kutoa mtoto mchanga tumboni. . . . .
Mifano:
1.Kutoa sauti iliyopangiliwa kwa ustadi.
2.Kuimba.
Kutia chakula mdomoni kukitafuna na kukimeza.
3.Kula.
Kutoa mtoto mchanga tumboni. . . . .