denyol
Member
- Mar 19, 2012
- 51
- 6
Yan haya ni mauaji kbisa na tunahitaji tamko la serikali kwa hili.
Kumbe ndio maana ya msemo wa liwalo na liwe.
tamko la nini, utadhani watakubali kama wanahusika?
Yan haya ni mauaji kbisa na tunahitaji tamko la serikali kwa hili.
Kumbe ndio maana ya msemo wa liwalo na liwe.
Mimi hapo penye red ndo panaponifanya nishangae sana juu ya hii skendo. Hata kwenye ile thread nyingine nilijikuta nashindwa kuamini kama serikali imehusika.
Swali langu ni kuwa "Ulimboka alitekwa peke yake, na baada ya kuokotwa alikuwa hana fahamu na hawezi kuongea. Je, haya yaliyomtokea kayasema nani?
hivi bado hatujaingia barabarani........naombeni ruti
Sasa rais ajiuzulu kwa kipi hasa?
Mimi nadhani ingekuwa busara mheshimiwa kiongozi wa madaktari Dr Ulimboka ajiuzulu mara moja kwa sababu wakati anafanya mazungumzo na hao jamaa kama alizungumza nao kama mwakilishi wa madaktari bila kupata idhini ya chama cha madaktari ni makosa makubwa!!
Hivi kama kumuua dr. Ulimboka ni ufumbuzi wa kudumu wa tatizo lililopo kwa nini wasiwakamate madaktari wote nchini wawapeleke gas chamber wawaue kama Adolf Hitler alivyowafanyia wayahudi?! damu ya Ulimboka iliyovuja itakuwa chachu ya mabadiliko ya kisiasa, kiuchumi na kijamii. Ewe Mwenyezi Mungu inusuru Tanzania yetu isibadilike na kuwa "A man eat man society" kama nchi fulani hapa afrika mashariki!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mimi hapo penye red ndo panaponifanya nishangae sana juu ya hii skendo. Hata kwenye ile thread nyingine nilijikuta nashindwa kuamini kama serikali imehusika.
Swali langu ni kuwa "Ulimboka alitekwa peke yake, na baada ya kuokotwa alikuwa hana fahamu na hawezi kuongea. Je, haya yaliyomtokea kayasema nani?
Sasa rais ajiuzulu kwa kipi hasa?
Mimi nadhani ingekuwa busara mheshimiwa kiongozi wa madaktari Dr Ulimboka ajiuzulu mara moja kwa sababu wakati anafanya mazungumzo na hao jamaa kama alizungumza nao kama mwakilishi wa madaktari bila kupata idhini ya chama cha madaktari ni makosa makubwa!!
Yan haya ni mauaji kbisa na tunahitaji tamko la serikali kwa hili.
Kumbe ndio maana ya msemo wa liwalo na liwe.