mamabaraka
Member
- Oct 18, 2011
- 92
- 14
wanagoma na mwisho wa mwezi wanaenda na ATM kudraw Bank fedha zetu walipa kodi huku wagonjwa wetu wanakufa hospitali. hii ni halali? kwanini waendelee kulipwa mwezi huu? kwanini serikali haigomi kuwalipa kwa kususa kwao? hawatendi haki hata kidogo.
Nasikia Dr Ulimboka alikuwa Jolly alipofikwa na maafa haya ni kweli?
Madaktari hawapo katika kutetea huduma za afya wangekuwa wanatetea kuboreshwa huduma wasingekuwa wanagoma kuacha watu wafe. Wao wapo ki maslahi binafsi!
Sisi wengine tuliotoka family za madaktari tunajua unafiki wa hawa viumbe madaktari.
Nimecheza tiari bado kwenye korido za OPD ,MCH,nimeishi miaka miaka yote ya utoto hadi ujana wangu mita chache tu toka hospitali kwenye kotas.
Nafahamu vyema jinsi madaktari wanavyoiba madawa,na vitu kama dripwater,bandeji etc na kwenda kuviuZA kwenye hosptali za binafsi.jinsi wanavyokula rushwa ili kuhudumia wagonjwa,HAWANIDANGANYI CHOCHOTE.
Wanapogoma hivi sasa na kuacha watu masikini wasio na uwezo wa kwenda private wafe HAIKUBALIKI.
Huyu Ulimboka(MY ALMIGTHY GOD REST HIM IN HELL) hapaswi kuonewa huruma KAMWE.
wanagoma na mwisho wa mwezi wanaenda na ATM kudraw Bank fedha zetu walipa kodi huku wagonjwa wetu wanakufa hospitali. hii ni halali? kwanini waendelee kulipwa mwezi huu? kwanini serikali haigomi kuwalipa kwa kususa kwao? hawatendi haki hata kidogo.
Nasikia Dr Ulimboka alikuwa Jolly alipofikwa na maafa haya ni kweli?
Sisi wengine tuliotoka family za madaktari tunajua unafiki wa hawa viumbe madaktari.
Nimecheza tiari bado kwenye korido za OPD ,MCH,nimeishi miaka miaka yote ya utoto hadi ujana wangu mita chache tu toka hospitali kwenye kotas.
Nafahamu vyema jinsi madaktari wanavyoiba madawa,na vitu kama dripwater,bandeji etc na kwenda kuviuZA kwenye hosptali za binafsi.jinsi wanavyokula rushwa ili kuhudumia wagonjwa,HAWANIDANGANYI CHOCHOTE.
Wanapogoma hivi sasa na kuacha watu masikini wasio na uwezo wa kwenda private wafe HAIKUBALIKI.
Huyu Ulimboka(MY ALMIGTHY GOD REST HIM IN HELL) hapaswi kuonewa huruma KAMWE.
Sisi wengine tuliotoka family za madaktari tunajua unafiki wa hawa viumbe madaktari.
Nimecheza tiari bado kwenye korido za OPD ,MCH,nimeishi miaka miaka yote ya utoto hadi ujana wangu mita chache tu toka hospitali kwenye kotas.
Nafahamu vyema jinsi madaktari wanavyoiba madawa,na vitu kama dripwater,bandeji etc na kwenda kuviuZA kwenye hosptali za binafsi.jinsi wanavyokula rushwa ili kuhudumia wagonjwa,HAWANIDANGANYI CHOCHOTE.
Wanapogoma hivi sasa na kuacha watu masikini wasio na uwezo wa kwenda private wafe HAIKUBALIKI.
Huyu Ulimboka(MY ALMIGTHY GOD REST HIM IN HELL) hapaswi kuonewa huruma KAMWE.
Yap...anaendelea vzr mkuu,npo maeneo ya mhimbili