A day spent well with my bloods..

A day spent well with my bloods..

Haniwezi kwa uoga huo wakunyumba nikianza kusalimiwa si ataniacha bar huyu.
Hahhaha yaan nilichomaanisha na mambo zake rrondo mana naye ni mwingi wewe ndio atakuweza huoni mpaka anakuogopa wakunyumba
. Kuna muda nikienda sehemu sigeuki wala siendi washroom maana nitakutana na mtu na sitaki kumkera niliekaa nae.
 
Hahhaha yaan nilichomaanisha na mambo zake rrondo mana naye ni mwingi wewe ndio atakuweza huoni mpaka anakuogopa wakunyumba
Eiish sa mi sio mwingi jamani basi tu najuana na watu.
 
Siendi kila bar kwanza. Kwingine naendaga tu ila kujulikana haikwepeki hata sehemu ambazo sijaenda kabisa siku nikienda lazima nikitane na mtu tunajuana. We hufai kutoka na mimi maana utanikimbia mezani ukiona navyosalimiana na watu
Ni kweli kabisa, mwanamke kila hatua mbili anajuana na mtu, nitamuacha njiani!
 
wakunyumba nataka RRONDO awe shemeji yangu jaman yaan nitafurahi sana
Mmmh huyo anaonekana wale wanaume wa sheria sheria halafu sio waelewa yani hawezi kukuona na mtu akaamini ni marafiki .
Sio hivyo, kujuana na watu sio issue ila ikizidi inaboa. Huwezi kuingia sehemu mwanamke anamjua kila mtu. As if ni member wa kila Bar maarufu mjini.
 
Mmmh huyo anaonekana wale wanaume wa sheria sheria halafu sio waelewa yani hawezi kukuona na mtu akaamini ni marafiki .
Kuna thread nyingi humu kuhusu urafiki wa mwanaume na mwanamke......wengi wanaamini hakuna urafiki wa mwanaume na mwanamke....mbuzi na simba hawawezi kuwa marafiki itafikia kipindi simba atamla tu huyo mbuzi!
 
Kusalimia haki yako, shida ni pale kila mtu unamjua wewe.
Naanzaje sasa kumjua kila mtu? Kwanza mi sisalimiagi mtu mpaka anianze labda awe ni mtu tuna ukaribu sana zaidi ya hapo mchuno mwanzo mwisho
 
Mimi maneno matupu, huyo simuwezi. Inatakiwa atoke na mwanaume fulani zoba hivi, mjanja lazima kiwake!
Zoba ndo mshamba sasa ambae anadhani kila uanemsalimia mna kitu. Mwanaume anaejiamini mbona hamna shida. Maana namsalimia mtu na nakutambulisha kama we ni bwana angu nasema kama rafiki nasema.
 
Naanzaje sasa kumjua kila mtu? Kwanza mi sisalimiagi mtu mpaka anianze labda awe ni mtu tuna ukaribu sana zaidi ya hapo mchuno mwanzo mwisho
Wapo wanwake maarufu namna hio, anamjua kila mtu sehemu za starehe. BTW hao 'kila' mtu ni wale 'wenye bar' mfano pale 777 wapo wenye bar yao.
 
Back
Top Bottom