A day spent well with my bloods..

A day spent well with my bloods..

Yaani wewe ukiingia kila Bar watu wanakujua! Nikipata demu design hii hata wiki haipiti, natambaa!
Siendi kila bar kwanza. Kwingine naendaga tu ila kujulikana haikwepeki hata sehemu ambazo sijaenda kabisa siku nikienda lazima nikitane na mtu tunajuana. We hufai kutoka na mimi maana utanikimbia mezani ukiona navyosalimiana na watu
 
😀😀😀na kweli mlikuwa hamtongozeki.
heri yako wewe wengine wana watoto na bado mwendo ni uleule
Unaanzaje kwa mfano. Mi ndo maana siwezi kudate mwanaume Dar maaba maisha yangu yako huru sana. Halafu anaweza nikuta na watu akatetemeka bure kumbe mi marafiki zangu. Kuna siku nilikaa sehemu akaha ex wangu na rafiki ake. Na walinikuta niko peke yangu ila rafiki ake alipanic kwanini ananiruhusu nikae sehemu zenye mafisi bila kujua wale mafisi hata kunitongoza hawawezi sababu ni washkaji sana.
 
Unaanzaje kwa mfano. Mi ndo maana siwezi kudate mwanaume Dar maaba maisha yangu yako huru sana. Halafu anaweza nikuta na watu akatetemeka bure kumbe mi marafiki zangu. Kuna siku nilikaa sehemu akaha ex wangu na rafiki ake. Na walinikuta niko peke yangu ila rafiki ake alipanic kwanini ananiruhusu nikae sehemu zenye mafisi bila kujua wale mafisi hata kunitongoza hawawezi sababu ni washkaji sana.
rafiki alikuwa anahofu juu ya mali ya jamaa yake😀😀
 
Eeeh. Alivyoambiwa aah wale hawana shida akaanza we huwajui wale. Hawafai. Hawakai na mwanamke kamribu .
😀😀😀
ME wengi wana huo uwoga..
kama ndege ni wako ni wako tu! labda aamue mwenyewe kuwa wa wote
 
😀😀😀
ME wengi wana huo uwoga..
kama ndege ni wako ni wako tu! labda aamue mwenyewe kuwa wa wote
You see. Japo kuna wanawake kweli huwaweki karibu na baadhi ya watu maana hatabakisha hata mmoja. Sema RRONDO muoga sana hafai kukaa na mimi sehemu maana angekua bwana angenivunja miguu
 
You see. Japo kuna wanawake kweli huwaweki karibu na baadhi ya watu maana hatabakisha hata mmoja. Sema RRONDO muoga sana hafai kukaa na mimi sehemu maana angekua bwana angenivunja miguu
kweli kabisa.
ila huwezi jua yeye kapitia yepi mpaka anakuwa na hiyo hofu
 
100 nigga, Life iz too short, sometimes you gotta have to entertain yourself
 
Siendi kila bar kwanza. Kwingine naendaga tu ila kujulikana haikwepeki hata sehemu ambazo sijaenda kabisa siku nikienda lazima nikitane na mtu tunajuana. We hufai kutoka na mimi maana utanikimbia mezani ukiona navyosalimiana na watu
nimecheka hiyo ya kukukimbia mezani ukisalimiana na washkaji
 
Back
Top Bottom