A day spent well with my bloods..

A day spent well with my bloods..

Mkuu mlipomaliza kula kiti moto
1.mlihama meza kutoka ya kioo hadi ya plastic
2.mlibadili bia kutoka heineken hadi windhoek

Naona Euro € 50/50 hapo hadi kuzimaliza hizo si mlitambaa?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
ohhhh !mie siwez fululiza kbs!hv hapa nilikunywa saturday hapanaweza kaa mwezi kbs!safi kupunguza
Mi naweza kunywa kila siku aisee sema nisiwe na stress maana nikiwa na stress nalewa haraka halafu naweza fanya tukio litakalonifanya nisiguse pombe hata week 3. Sema muda kweli sijafanya tukio la pombe sababu sinywi mfululizo. Ingekua enzi zile sina kazi mbona saa hizi ndo ningekua namalizia malizia kunywa nilale [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mi naweza kunywa kila siku aisee sema nisiwe na stress maana nikiwa na stress nalewa haraka halafu naweza fanya tukio litakalonifanya nisiguse pombe hata week 3. Sema muda kweli sijafanya tukio la pombe sababu sinywi mfululizo. Ingekua enzi zile sina kazi mbona saa hizi ndo ningekua namalizia malizia kunywa nilale [emoji23] [emoji23] [emoji23]


hhahahhahahaaaaa aisee raha sana
 
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
hhahahhahahaaaaa aisee raha sana
Raha sana jamani. Kuna siku tulienda 777 saa saba usiku hapo tumetoka kwenye harusi tumeanza kunywa saa 2 sijui. Tulikaa 777 mpaka kesho yake saa kumi na moja jioni. Ikabidi tuchukue room regency kwa ajili ya kuoga na kubadilisha waliochoka wanalala kwenye gari. Yale maisha ngoja nitulie niyaanze yalikua matamuu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Raha sana jamani. Kuna siku tulienda 777 saa saba usiku hapo tumetoka kwenye harusi tumeanza kunywa saa 2 sijui. Tulikaa 777 mpaka kesho yake saa kumi na moja jioni. Ikabidi tuchukue room regency kwa ajili ya kuoga na kubadilisha waliochoka wanalala kwenye gari. Yale maisha ngoja nitulie niyaanze yalikua matamuu [emoji23] [emoji23] [emoji23]

hahaha yafanye mama utayakumbuka ukiolewa
 
Back
Top Bottom