Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,391
- 88,769
Hahhhaha wa kwangu naona kazidi nakumbuka miaka flani ilikuwa bday yangu sasa rafiki yangu wa kike kanipigia akaniambia nipo na shemeji yako namuaga aga nitachelewa kuja ngoja nimtume mdogo wangu wa kiume atangulie akuje nikamjibu sawa nikakata simubora wako mara 100







ikabidi nimfate mkaka wa watu naomba tu uende mr wangu haelewi chochote mwambie ney nampigia kumuelewesha aliondoka na party ikaendelea
Hahhahaha wakina naniHii ndio JF....tunaishi nao
Hahahhaaa. Poleni jamani ila ndo ndoa mtafanyaje sasa.Shunie umenichekesha jaman!dah hawa watu wanafanana sana sana jaman!
kuna kipindi tulikwaruzana akasema why huwa simuag napoenda town..siku moja nikawa na stress za kazin nikasema nna miaka 2 sijaenda sehem walau nisikize miziki lain!ila nikasema nikimuaga nikiwa home tu dakika 0 atakuwa hapa ashafika !
nikaondoka hm km saa 1 kasoro,kufika kule nikamwambia leo naham na kusikiza mizk na kucheza !nipo na fulan na fulan hotel fulan!hapo ndo tumeagza dompo na mashost zangu!jaman dk 4 nying ashafika !akanikol toka nje !nikamwambia njoo tu ndan!
shoga alifika pale haksalimia mtu akanionesha ishara ninyanyuke !nikajua labda leo ananihug!akanishika mkono hao kwenye gari !kifpi hata ile wine sikusip ht mara 3!jaman nilichukiaaa!eti kwann nakaa hapo!hapo wanajiuzaga blahblah kibao!jaman alinifedhehesha sana !
since then siagi na sisem nipo wap nipo radh kwenda kuomba radh maana anapenda huyo kuombwa radh pasi na sababu namjua hatakag kukaa na mashost !yaan chaa!
nashangaa kwa demi alikubali kukaa na ss!lol
Hahahhaaa. Poleni jamani ila ndo ndoa mtafanyaje sasa.
Bora alikuwa mstaarabu kidogo, wa kwangu ngumi zingepigwa na party ingeishia hapoHahhhaha wa kwangu naona kazidi nakumbuka miaka flani ilikuwa bday yangu sasa rafiki yangu wa kike kanipigia akaniambia nipo na shemeji yako namuaga aga nitachelewa kuja ngoja nimtume mdogo wangu wa kiume atangulie akuje nikamjibu sawa nikakata simu
Basi tupo kwenye sherehe yule mdogo wake kaja nikaenda kumsalimia kumkaribisha nikamfata mr huyu mdogoa akee flani ye anakuja badae kamtanguliza woiii akaniambia usiniletee uchizi kama umeleta bwana ako kijanja na party inaishia hapa hapa usitake nimwage kila kitu mwambie aondokeikabidi nimfate mkaka wa watu naomba tu uende mr wangu haelewi chochote mwambie ney nampigia kumuelewesha aliondoka na party ikaendelea
Bora alikuwa mstaarabu kidogo, wa kwangu ngumi zingepigwa na party ingeishia hapo
Jamaniii, basi mimi alinikubali.Shunie umenichekesha jaman!dah hawa watu wanafanana sana sana jaman!
kuna kipindi tulikwaruzana akasema why huwa simuag napoenda town..siku moja nikawa na stress za kazin nikasema nna miaka 2 sijaenda sehem walau nisikize miziki lain!ila nikasema nikimuaga nikiwa home tu dakika 0 atakuwa hapa ashafika !
nikaondoka hm km saa 1 kasoro,kufika kule nikamwambia leo naham na kusikiza mizk na kucheza !nipo na fulan na fulan hotel fulan!hapo ndo tumeagza dompo na mashost zangu!jaman dk 4 nying ashafika !akanikol toka nje !nikamwambia njoo tu ndan!
shoga alifika pale haksalimia mtu akanionesha ishara ninyanyuke !nikajua labda leo ananihug!akanishika mkono hao kwenye gari !kifpi hata ile wine sikusip ht mara 3!jaman nilichukiaaa!eti kwann nakaa hapo!hapo wanajiuzaga blahblah kibao!jaman alinifedhehesha sana !
since then siagi na sisem nipo wap nipo radh kwenda kuomba radh maana anapenda huyo kuombwa radh pasi na sababu namjua hatakag kukaa na mashost !yaan chaa!
nashangaa kwa demi alikubali kukaa na ss!lol
Hahahahahaaaa.. mi ninavyoogopa mambo ya kupigana nikipata mwanaume anaepigana sijui itakuaje.Bora alikuwa mstaarabu kidogo, wa kwangu ngumi zingepigwa na party ingeishia hapo
Shunie umenichekesha jaman!dah hawa watu wanafanana sana sana jaman!
kuna kipindi tulikwaruzana akasema why huwa simuag napoenda town..siku moja nikawa na stress za kazin nikasema nna miaka 2 sijaenda sehem walau nisikize miziki lain!ila nikasema nikimuaga nikiwa home tu dakika 0 atakuwa hapa ashafika !
nikaondoka hm km saa 1 kasoro,kufika kule nikamwambia leo naham na kusikiza mizk na kucheza !nipo na fulan na fulan hotel fulan!hapo ndo tumeagza dompo na mashost zangu!jaman dk 4 nying ashafika !akanikol toka nje !nikamwambia njoo tu ndan!
shoga alifika pale haksalimia mtu akanionesha ishara ninyanyuke !nikajua labda leo ananihug!akanishika mkono hao kwenye gari !kifpi hata ile wine sikusip ht mara 3!jaman nilichukiaaa!eti kwann nakaa hapo!hapo wanajiuzaga blahblah kibao!jaman alinifedhehesha sana !
since then siagi na sisem nipo wap nipo radh kwenda kuomba radh maana anapenda huyo kuombwa radh pasi na sababu namjua hatakag kukaa na mashost !yaan chaa!
nashangaa kwa demi alikubali kukaa na ss!lol








Bora alikuwa mstaarabu kidogo, wa kwangu ngumi zingepigwa na party ingeishia hapo
Yaani hakuna jinsiHahahhaaa. Poleni jamani ila ndo ndoa mtafanyaje sasa.
Uwiiiiii wangu akiamua kukupa kipigo anapiga kuna siku nikajibebea nguo zote viatu vyoteee handbags zote akarudi kakuta nyumba nyeupe nilivyo muogaHahahahahaaaa.. mi ninavyoogopa mambo ya kupigana nikipata mwanaume anaepigana sijui itakuaje.
Jamaniii, basi mimi alinikubali.
Mi sijui siku ya kupiga hata kibao itakuaje. Sijui yani. Ntamuangushia kilio hatajarihu kunigusa tena.Uwiiiiii wangu akiamua kukupa kipigo anapiga kuna siku nikajibebea nguo zote viatu vyoteee handbags zote akarudi kakuta nyumba nyeupe nilivyo muoga
marufuku makubwa mm kukaaga na mashost kitaa!akiona huelew anamtafuta mume wa shost mmoja anamweleza mwambie mkeo sitak aongozane na mbiti!mweeeeeeee!






Uwiiiiii wangu akiamua kukupa kipigo anapiga kuna siku nikajibebea nguo zote viatu vyoteee handbags zote akarudi kakuta nyumba nyeupe nilivyo muoga
Niwahi zangi 777 mie. Kesho nikishindwa kwenda mkoa wa Pwani nitajua kilichomtoa kanga manyoya


