Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,391
- 88,769
Bwana acheni kunitisha mi navyopenda hivi nikikutana na vitimbi si nitakonda maana sitaondoka haraka ntabaki naumia roho tuuyatamkuta kwa desgn nyingn
Bwana acheni kunitisha mi navyopenda hivi nikikutana na vitimbi si nitakonda maana sitaondoka haraka ntabaki naumia roho tuuyatamkuta kwa desgn nyingn
Bora wewe talaka tu. Mimi nitatolewa meno na macho, na itakuwa breaking news all over ze world!






Sipati picha kwa kweli.Atakufungisha ndoa ya lazima na Max nakwambia![]()
Atakufungisha ndoa ya lazima na Max nakwambia![]()




nimetoka mie hapa kwenye kiduka najinywea heineken zangu
HahahahaBwana acheni kunitisha mi navyopenda hivi nikikutana na vitimbi si nitakonda maana sitaondoka haraka ntabaki naumia roho tuu
Mi kaka zangu wameniita 777 ila haka kamvua natokaje ndani. Nikiita uber nadaiwa hela ya kucancel safarunimetoka mie hapa kwenye kiduka najinywea heineken zangu
Kwenye lile chimbo kama la karibu na kwakoMi kaka zangu wameniita 777 ila haka kamvua natokaje ndani. Nikiita uber nadaiwa hela ya kucancel safaru



Machimbo hayo yanakuaga matamuu
DONLUCCHESE katika ubora wako wa vyakula...baada ya hustling hustling sioni ajabu, kujimix na wanangu ndo zangu nisahau tabu...
![]()
View attachment 714946View attachment 714947
Boss...baada ya hustling hustling sioni ajabu, kujimix na wanangu ndo zangu nisahau tabu...
![]()
View attachment 714946View attachment 714947
Kama grease haifai ,choma moto!! Umeishaambiwa jiwe halichezewi!vyuma vimekaza kwangu tu dadeki!
Aisee....anaonekana katilii
Aisee....
I dont mind....why?hahaha usimind...yaan ww upate mwanamke mwelewa sana!
mie nakuona jiwe sanaI dont mind....why?