A day spent well with my bloods..

A day spent well with my bloods..

Mi sijui siku ya kupiga hata kibao itakuaje. Sijui yani. Ntamuangushia kilio hatajarihu kunigusa tena.
Kisa kakuta no ya simu ya x wangu woiii nilikoma nikasema nisije kuuliwa huyoooo kwenda kwa baba akaniambia oooh sikupokei mpaka barua ya mumeo nikamwambia nimekuja kukupa taarifa tu sasa we sema hivyo huku nauliwa me naondoka nikaondoka zangu mpaka kusuruhishwa na vikao ndio kurudi
 
hahahaha!!aisee wa kupiga hao wabaya.. mm aliwah nidunda siku 1 nasemaga mm nna mwili mzuri jaman!ila siku ile nilimisbehave !ahaha nilikuwa tungi la smirnof blak ice!anasemaga mbiti mm sitakuja kukupiga tena ntakuua!pyeeeeee
 
Kisa kakuta no ya simu ya x wangu woiii nilikoma nikasema nisije kuuliwa huyoooo kwenda kwa baba akaniambia oooh sikupokei mpaka barua ya mumeo nikamwambia nimekuja kukupa taarifa tu sasa we sema hivyo huku nauliwa me naondoka nikaondoka zangu mpaka kusuruhishwa na vikao ndio kurudi
Khaaah. Pole
 
Kisa kakuta no ya simu ya x wangu woiii nilikoma nikasema nisije kuuliwa huyoooo kwenda kwa baba akaniambia oooh sikupokei mpaka barua ya mumeo nikamwambia nimekuja kukupa taarifa tu sasa we sema hivyo huku nauliwa me naondoka nikaondoka zangu mpaka kusuruhishwa na vikao ndio kurudi

hhahhaa kwann hamdelete namba za ma x wenu!mm jaman siwez ht kuiacha!hhaha pole aisee !ila ding mnoko dah!mie wangu uwiiiii atasema njoo mwananguu !tena kaa hapa tulia !sema haijawah tokea !ile ya kunidunda niliogopa kusema hom!maana mume angenilipua mbiti alikua amelewa!kitu ambach hom ukiwaambia nakunywa watapata polio ya ubongo kbs!
 
hhahhaa kwann hamdelete namba za ma x wenu!mm jaman siwez ht kuiacha!hhaha pole aisee !ila ding mnoko dah!mie wangu uwiiiii atasema njoo mwananguu !tena kaa hapa tulia !sema haijawah tokea !ile ya kunidunda niliogopa kusema hom!maana mume angenilipua mbiti alikua amelewa!kitu ambach hom ukiwaambia nakunywa watapata polio ya ubongo kbs!
 
hhahhaa kwann hamdelete namba za ma x wenu!mm jaman siwez ht kuiacha!hhaha pole aisee !ila ding mnoko dah!mie wangu uwiiiii atasema njoo mwananguu !tena kaa hapa tulia !sema haijawah tokea !ile ya kunidunda niliogopa kusema hom!maana mume angenilipua mbiti alikua amelewa!kitu ambach hom ukiwaambia nakunywa watapata polio ya ubongo kbs!
Yaan ilitokea tu bahati mbaya jamani nikitaka kuchata nae whatsapp naisave nachat nae ndio nilikuaa sijaifuta
 
Back
Top Bottom