kwa mara kwanza kuziona power bank sokoni nilizani watu wengi tunao tumia smartphone tutakuwa tumekomboka. kumbe nilikuwa nawaza kinyume chake.
na toka nianze kununua power bank sijawahi kubahatika kupata power bank original.
unajua wafanya biashara wanamaneno mengi Sana na unaweza ukahisi anacho zungumza ni kweli. unakuta anakuambia kwa hii simu yako hii power bank inaweza kuchaji hata mara 5.
lakini Mara ya kwanza nilinunua power bank yenye capacity 30000 lakini ikawa inachaji simu Mara 1 kwa betri yenye 3000 mA na inaisha labda unabaki na moto wa kuwasha tochi tu.
nikaja kununua capacity 50000 hii ilikuwa inachaji mara 1 na nusu
nikaja kununua capacity 90000 hii ndio ikawa inachaji Mara 2
mbali na kupata hasara ya kutupa pesa na bado zilinialibia na mabetri 2 na bado hapo hapo kupata adhabu ya kulibeba lipower bank likubwa Kama betri la pikipiki na humo njiani kila MTU ananiangalia mm Kama mwendawazimu.
na pale nyumbani saizi ninakama power bank 6 na zote nilikuwa nanunua ilikujaribu bahati yangu lakini nimeambulia patupu.
na saizi nimekuja na akili mpya sitaki kutumia power bank Ila nitakuwa nitakuwa natumia chaji ya fast charging. na nimegundua tanzania hamna power bank original zote ambazo zipo sokoni zipo kwenye majaribio ya kibiashara.
Hiyo ya saiz ya kati ya 16000mAh bei gn mkuuhiyo anker ni kiboko.
Nunua simu yenye battery 4000 na kuendeleakwa mara kwanza kuziona power bank sokoni nilizani watu wengi tunao tumia smartphone tutakuwa tumekomboka. kumbe nilikuwa nawaza kinyume chake.
na toka nianze kununua power bank sijawahi kubahatika kupata power bank original.
unajua wafanya biashara wanamaneno mengi Sana na unaweza ukahisi anacho zungumza ni kweli. unakuta anakuambia kwa hii simu yako hii power bank inaweza kuchaji hata mara 5.
lakini Mara ya kwanza nilinunua power bank yenye capacity 30000 lakini ikawa inachaji simu Mara 1 kwa betri yenye 3000 mA na inaisha labda unabaki na moto wa kuwasha tochi tu.
nikaja kununua capacity 50000 hii ilikuwa inachaji mara 1 na nusu
nikaja kununua capacity 90000 hii ndio ikawa inachaji Mara 2
mbali na kupata hasara ya kutupa pesa na bado zilinialibia na mabetri 2 na bado hapo hapo kupata adhabu ya kulibeba lipower bank likubwa Kama betri la pikipiki na humo njiani kila MTU ananiangalia mm Kama mwendawazimu.
na pale nyumbani saizi ninakama power bank 6 na zote nilikuwa nanunua ilikujaribu bahati yangu lakini nimeambulia patupu.
na saizi nimekuja na akili mpya sitaki kutumia power bank Ila nitakuwa nitakuwa natumia chaji ya fast charging. na nimegundua tanzania hamna power bank original zote ambazo zipo sokoni zipo kwenye majaribio ya kibiashara.
ww lazima utakuwa unauza power bank fake na wakiluda kuja kubadilisha na hivyo ndivyo unavyo wajibu.Yaan unachokifanya wewe ni sawa na wanandoa wawili wanazozana kuhusu kuzaa, mwanamke anapiga kelele kwamba mumewe hazalishi wakat huo huo anashindwa kuelewa kwamba inaezekana na mwenyew hana mayai. Kwa mantiki hiyo inaezekana simu au betri yako ndio fake, kwahiyo ukitumia kwenye power bank original utahis ufake tu.
Umemaliza mkuuUnaongea tu wewe, ingekua ni hivyo power bank zisingeuza hata nchi za nje, nchi nyingi ambazo umeme haukatiki ka bongo bado watu wananunua power bank, tena watu wenye high end products na wananunua sana kuliko bongo ambapo umeme unakatika kila wiki. Hujaona hata Apple wanauza power banks? au unadhani wanatengeneza ili wauzie waafrika ambao hawana ofisi? Kama huoni use ya power bank probably una boring life, kama ulivyosema asubuhi hadi jioni ofisini, usiku nyumbani umemaliza.
Sasa xiaomi oroginal inapatikana wapi mkuumkuu ndio unajua leo? sio power bank tu hata charger, memory card na vi accessory vidogo vidogo 99% ni fake.
power bank original Tanzania nunua za xiaomi tena sio zile clone za aggrey nunua zenyewe original. yangu nilinunua highlife, Toka ninunue hadi leo ipo na uwezo wake ule ule na kuna member pia humu wana xiaomi power banks wanaweza kuja kukupa ushahidi
RGforever
mimi yangu ni 16000mah na inatoa 10,000mah kama 6000mah zinapotea na hii wamesema kabisa xiaomi kwenye manual yao. simu za kawaida hizi flagship utachaji mara 3 hadi 4
ww lazima utakuwa unauza power bank fake na wakiluda kuja kubadilisha na hivyo ndivyo unavyo wajibu.
Tupo tofauti.... ushawahi kujiuliza kwann hata vidole vya kwenye mkono wako mwenyewe havilingani??Kweli kabisa, mimi sijawahi nunua hiyo mikitu wala sijawahi tumia, Nilichogundua ni kuwa watumiaji wengi wa hizi power bank ni watu wa misheshe au watu wa mision town kwasana, watu wasio na address maalum au ofisi maalum, watu wa vijiweni. Mimi naingia ofisini saa mbili kamili na kutoka saa kumi na moja na nusu jioni, muda wote nipo ofisini na access ya umeme full time, nyumbani umeme full time. Hapo sasa power bank ya nini?
Sorry,mkuu ndio unajua leo? sio power bank tu hata charger, memory card na vi accessory vidogo vidogo 99% ni fake.
power bank original Tanzania nunua za xiaomi tena sio zile clone za aggrey nunua zenyewe original. yangu nilinunua highlife, Toka ninunue hadi leo ipo na uwezo wake ule ule na kuna member pia humu wana xiaomi power banks wanaweza kuja kukupa ushahidi
RGforever
mimi yangu ni 16000mah na inatoa 10,000mah kama 6000mah zinapotea na hii wamesema kabisa xiaomi kwenye manual yao. simu za kawaida hizi flagship utachaji mara 3 hadi 4
Ww km mimi tuMimi shanunua memory card zaidi ya 15 zoote ni kimeo yani nikitumia sku kadhaa tu zinakufa jaman naomba kama kuna mtu anajua sehemu wanakouza memory card nzuri anielekezee
search highlife facebook utampata anaeuza na wapo pia wauzaji wengine uliza wadau ambao wanazo juuSasa xiaomi oroginal inapatikana wapi mkuu
kwa matumizi makubwa sidhani hata kama masaa 5 inatoboa hio, wewe ndio huna matumizi thats why inakaa na chaji sababu simu za mediatek ni vimeo sana kwenye chaji.Nunua techo utaacha kutembea na mi powey bank boom j 8 yangu haina wenge kwenye chaji
class 10 uhs 1 au 3, brand yoyote kubwa iwe sandisk, samsung inafaa.Sorry,
Memory card card ni nzuri maana ninazo km 3 zote feki zinasumbua nataka nikatafute oeijino ya kuanzia GB 8
Hiyo fast charging ndiyo original?kwa mara kwanza kuziona power bank sokoni nilizani watu wengi tunao tumia smartphone tutakuwa tumekomboka. kumbe nilikuwa nawaza kinyume chake.
na toka nianze kununua power bank sijawahi kubahatika kupata power bank original.
unajua wafanya biashara wanamaneno mengi Sana na unaweza ukahisi anacho zungumza ni kweli. unakuta anakuambia kwa hii simu yako hii power bank inaweza kuchaji hata mara 5.
lakini Mara ya kwanza nilinunua power bank yenye capacity 30000 lakini ikawa inachaji simu Mara 1 kwa betri yenye 3000 mA na inaisha labda unabaki na moto wa kuwasha tochi tu.
nikaja kununua capacity 50000 hii ilikuwa inachaji mara 1 na nusu
nikaja kununua capacity 90000 hii ndio ikawa inachaji Mara 2
mbali na kupata hasara ya kutupa pesa na bado zilinialibia na mabetri 2 na bado hapo hapo kupata adhabu ya kulibeba lipower bank likubwa Kama betri la pikipiki na humo njiani kila MTU ananiangalia mm Kama mwendawazimu.
na pale nyumbani saizi ninakama power bank 6 na zote nilikuwa nanunua ilikujaribu bahati yangu lakini nimeambulia patupu.
na saizi nimekuja na akili mpya sitaki kutumia power bank Ila nitakuwa nitakuwa natumia chaji ya fast charging. na nimegundua tanzania hamna power bank original zote ambazo zipo sokoni zipo kwenye majaribio ya kibiashara.
Matumizi yako kiduchu mkuu. BOOM J8 ni 3000mah. Kwa watumiaji wakuu kama mimi haitoshi.Mimi kidogo simu yangu ina 4850mah.Kidogo inanivutaNunua techo utaacha kutembea na mi powey bank boom j 8 yangu haina wenge kwenye chaji
mkuu wengine hatupo facebook.. tusaidie namna nyingine ya kuwapata hao highlifesearch highlife facebook utampata anaeuza na wapo pia wauzaji wengine uliza wadau ambao wanazo juu