PlayBoyMwema
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 1,714
- 1,821
hata hizi betri za kwenye cm nahis wanachakachua zikishatua bongo... Haiwezekan ukicheki battery consumption ya smartphone Gsm arena unakuta labda ni masaa 36 lakin simu hiyo hiyo ukinunua bongo battery lake unatumia masaa 4 tu chalii