Shaffin Simbamwene
JF-Expert Member
- Nov 16, 2008
- 2,156
- 1,521
Xperia Z2 ina Battery ya 3200 MAhUkubwa wa Battery ya Simu yako Ni Kiasi gani?
Xperia Z2 ina Battery ya 3200 MAhUkubwa wa Battery ya Simu yako Ni Kiasi gani?
Ni sawa Maana 8000 ukigawa kwa Hiyo ni mara Mbili tuXperia Z2 ina Battery ya 3200 MAh
nafkiri unaweza kuangalia page hata kama haupo fb jaribu hii link kama itakubalimkuu wengine hatupo facebook.. tusaidie namna nyingine ya kuwapata hao highlife
Mwenye kuhitaji anicheki 0655366488
Shukrani Chiefclass 10 uhs 1 au 3, brand yoyote kubwa iwe sandisk, samsung inafaa.
hio class huandikwa juu ya memory card na uhs huandikwa kama kialama cha U chenye namba moja au 3
ila ni za kutafuta sana, hasa hasa maduka ya camera ndio utazipata zinakuwa na adapter
Mkuu zipo powerbank za ukweli. Mfano mm nina powerbank inamiaka 2 nilinunua 2015 mwez wapili inaukubwa wa 10000mA ilikuwa inacharge s5 yang mara 2 na mara ya tat ilikuwa inafika 80%. Niyakampuni ya Remax. Ukiongelea kampuni ya Xiomi na yenyew inazo pbank fek ambaz ndo zipo nying japo fake zake zinajitahid. Chamsing ukitaka kununua pbank usidanganyike na mmA ambaz unakuta ni nying alaf unakuta pbank nyepesi ujue ni fake. Kwa mfano mm yang hii ya 10000mA Ni kazito tofaut na moja nilikuta inauzwa 35000mA ambay ni nyepes kuliko yang(fake) skuzote battery iliyopo kwenye pbank inavyoongezeka ukubwa ndivyo inavyozid kuwa nzito. Mimi hii yang bado inauwezo wakuchaj S6 Yang mara 2 na ikabak chaj kidogo na niliinunua elfu 50000kwa mara kwanza kuziona power bank sokoni nilizani watu wengi tunao tumia smartphone tutakuwa tumekomboka. kumbe nilikuwa nawaza kinyume chake.
na toka nianze kununua power bank sijawahi kubahatika kupata power bank original.
unajua wafanya biashara wanamaneno mengi Sana na unaweza ukahisi anacho zungumza ni kweli. unakuta anakuambia kwa hii simu yako hii power bank inaweza kuchaji hata mara 5.
lakini Mara ya kwanza nilinunua power bank yenye capacity 30000 lakini ikawa inachaji simu Mara 1 kwa betri yenye 3000 mA na inaisha labda unabaki na moto wa kuwasha tochi tu.
nikaja kununua capacity 50000 hii ilikuwa inachaji mara 1 na nusu
nikaja kununua capacity 90000 hii ndio ikawa inachaji Mara 2
mbali na kupata hasara ya kutupa pesa na bado zilinialibia na mabetri 2 na bado hapo hapo kupata adhabu ya kulibeba lipower bank likubwa Kama betri la pikipiki na humo njiani kila MTU ananiangalia mm Kama mwendawazimu.
na pale nyumbani saizi ninakama power bank 6 na zote nilikuwa nanunua ilikujaribu bahati yangu lakini nimeambulia patupu.
na saizi nimekuja na akili mpya sitaki kutumia power bank Ila nitakuwa nitakuwa natumia chaji ya fast charging. na nimegundua tanzania hamna power bank original zote ambazo zipo sokoni zipo kwenye majaribio ya kibiashara.
Ni bei gani mkuu fungukaaa bhanaa!Mwenye kuhitaji anicheki 0655366488
16 gb 22,000Ni bei gani mkuu fungukaaa bhanaa!
It's so depressing aiseee.. Mi nilinunua 80,000 nimetumia kama wiki nikaona performance yake ipo chini nikaibwagaHivi kwanini watu wanatumia hizo power bank?
Umesomeka mkuu ntakutafuta16 gb 22,000
32 gb 40,000
64 gb 54,000
Flash 64 gb 54,000
pole mkuu tafuta TECNO POWER BANK NI NZURI SANA.mi nahisi nilibahatika yangu nilinunua mwaka juzi ikijaa unachaji smartphone 4 zikiwa na 0.5% ya charge iliyobaki hadi 100% na vitochi vi 2kwa mara kwanza kuziona power bank sokoni nilizani watu wengi tunao tumia smartphone tutakuwa tumekomboka. kumbe nilikuwa nawaza kinyume chake.
na toka nianze kununua power bank sijawahi kubahatika kupata power bank original.
unajua wafanya biashara wanamaneno mengi Sana na unaweza ukahisi anacho zungumza ni kweli. unakuta anakuambia kwa hii simu yako hii power bank inaweza kuchaji hata mara 5.
lakini Mara ya kwanza nilinunua power bank yenye capacity 30000 lakini ikawa inachaji simu Mara 1 kwa betri yenye 3000 mA na inaisha labda unabaki na moto wa kuwasha tochi tu.
nikaja kununua capacity 50000 hii ilikuwa inachaji mara 1 na nusu
nikaja kununua capacity 90000 hii ndio ikawa inachaji Mara 2
mbali na kupata hasara ya kutupa pesa na bado zilinialibia na mabetri 2 na bado hapo hapo kupata adhabu ya kulibeba lipower bank likubwa Kama betri la pikipiki na humo njiani kila MTU ananiangalia mm Kama mwendawazimu.
na pale nyumbani saizi ninakama power bank 6 na zote nilikuwa nanunua ilikujaribu bahati yangu lakini nimeambulia patupu.
na saizi nimekuja na akili mpya sitaki kutumia power bank Ila nitakuwa nitakuwa natumia chaji ya fast charging. na nimegundua tanzania hamna power bank original zote ambazo zipo sokoni zipo kwenye majaribio ya kibiashara.
Mkuu huo mdundo wa mwisho nitaupataje kwa matumizi ya freezer lenye matumizi ya ya watts120Power bank babkubwa kwa watumizi wa simu ni Xiaomi
Wenye matumizi madogo, mfano simu moja, mbili na wanahitaji kurecharge mara moja au mbili. (10,400mAh)
Wenye matumizi ya kati, kurecharge simu mara tatu nne (16,000mAh)
Wale high end users wapenda the highest in quality kuna hii ya omnicharge, hii inapeleka hadi laptop
Kama bado hujaridhika kabisa, kuna hii Anker powerhouse, inawasha hadi fridge ndogo, tv
Bado hujaridhika? basi nunua Tesla home battery kabisa.
kama unatumia kitochi huwezi ona faidaNinunue power bank ya nini? Kwani naenda porini, cm yangu nikiichaj full nikiondoka asubuhi nyumbani mpaka narudi home chaji haijamaliza kama sitatumia kwa kuperuzi, nikiperuzi ikiisha naweka huku kazini, yanini kujisumbua na madude hayo
Mkuu nitajuaje kama INA hyo 16,000 mah maan mm ninayo hapa ni majanga tuu kwanz kujaa ni taabu na ikijaa cm moja tu nachajmkuu ndio unajua leo? sio power bank tu hata charger, memory card na vi accessory vidogo vidogo 99% ni fake.
power bank original Tanzania nunua za xiaomi tena sio zile clone za aggrey nunua zenyewe original. yangu nilinunua highlife, Toka ninunue hadi leo ipo na uwezo wake ule ule na kuna member pia humu wana xiaomi power banks wanaweza kuja kukupa ushahidi
RGforever
mimi yangu ni 16000mah na inatoa 10,000mah kama 6000mah zinapotea na hii wamesema kabisa xiaomi kwenye manual yao. simu za kawaida hizi flagship utachaji mara 3 hadi 4
pengine ni feki, 16,000mah actual capacity ni kama 10,000mah hivyo angalia simu yako ina mah ngapi fanya mahesabu, na output yake ni 2A hivyo inajaza chaji upesi tu.Mkuu nitajuaje kama INA hyo 16,000 mah maan mm ninayo hapa ni majanga tuu kwanz kujaa ni taabu na ikijaa cm moja tu nachaj
watts pekee si kigezo, hadi voltage pia ziendane, huwezi tumia powerbank ya simu au laptop kwenye freezer hata iwe na mah 1,000,000,000 kama output yake ni 5vMkuu huo mdundo wa mwisho nitaupataje kwa matumizi ya freezer lenye matumizi ya ya watts120
mkuu uwe unajiongeza,bado tuu unaaminigi haya mashirika ya kuhakiki ubora wa vitu mbalimbali hapa nchini,kama walitupa uhakika wa simu na kumbe ni feki vp kuhusu vyakula nk?Kweli kweli tupu TBS hapa imeshindwa kazi